advert

http://

Saturday, 8 June 2013

SSPRA KWA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI YA WANAFUNZI YA CHUO KIKUU CHA MT.AUGUSTINO WAANDAA SHEREHE YA KUMUAGA PADRI DOKTA CHARLES KITIMA JANA KATIKA UWANJA WA RAILA ODINGA.

Aliyekuwa Makamu Mkuu wa Chuo cha Mt.Augustino Mwanza(SAUT) Mh.Padri Dokta Charles Kitima leo amewaaga wanafunzi na jumuiya yote ya mtakatifu augustino katika kiwanja cha raila odinga na kumkaribisha Makamu Mkuu Mpya Padri Pius Mgeni kuwa ndiye makamu mkuu wa chuo kwa sasa.

Akizungumza katika sherehe hiyo ya kumuaga padri charles kitima awewataka wasomi wote wa vyuo vikuu na viongozi wote kuiga mfumo wa hayati Mwalimu J.K Nyerere ambao aliutumia katika kuiongoza Tanganyika na kuwa mstari wa mbele katika kutetea rasimali za wazawa ambazo utoroshwa kwenda nje kwa njia za panya.

Aidha,Amewataka vijana kuendelea kusoma kazi mbalimbali ambazo Hayati Mwalimu JK Nyerere katika uhai wake aliwahi kuziandika kwa ajili ya watanzania,kama marejeo ya kuondokana na matatizo yanayoikabili la tanzania kwa sasa.

 Katika sherehe hiyo ya kumuaga iliendana sambamba na kikizinduua kitabu kipya kilichoandikwa na Boniphace Pesambili Mgeta ambaye ni mwanafunzi katika shahada ya mwasiliano ya umma(Bachelor of Arts in Mass Communications) katika chuo kikuu cha Mtakatifu Augustino Mwanza.Pia amempongeza boniphace kwa kuandika hicho kitabu na kutaka aendeleze weledi katika kuandika kazi ambazo zinatetea haki za watanzania.

Padri charles kitima ametoa zawadi ya kwa wanafunzi wote wa chuo kikuu cha mtakatifu augustino kwa kuwanunulia nakala 300 ya vitabu vilivyoandikwa na Bw. Boniphace Mgeta

Kitabu hicho kimeandikwa kufuatia tafiti mbalimbali zilizofanywa na wanafunzi wailosoma katika chuo hicho katika kafuta suluhisho la matatizo mbalimbali ambayo yanawakabiri watanzania kwa sasa.

Zoezi hilo la uzinduzi wa kitabu lilisindikizwa na wakuu wa idara mbalimbali,Idara ya mawasiliano ya umma,Mkuu wa Idara ya sheria,na Mkuu wa idara ya Mahusiano ya jamii na matangazo.
Baadhi ya wanajumui ya  Mt.Augustino wa kimsikliliza Padri Dokta Kitima jana wakati wa kumwaga.

    
Padri Dokta Charles Kitima akitoa hotuba yake kwa wanafunzi na wanajumuiya ya SAUT.





Wa kwanza toka kulia ni Boniphace Mgeta ailiyeandika cha Ufiasadi wa Baadhi ya viongozi wetu wa Nchi




































                             























































   

Friday, 7 June 2013

MATUKIO YA MJADALA WA AMANI NA MAENDELEO ULIOFANYIKA KATIKA CHUO KIKUU CHA MT.AUGUSTINO KATIKA UKUMBI WA M13

Mhe.Steven Wasira akiwa na Padri Kitima na Nyambari Nyangwine,Denis Mpagaze na Bw..Kirangi katika meza kuu.
Mheshimwiwa steven wasira akisoma hotuba yake ya mbele ya wanafunzi wa  Saut,katika ukumbi wa m13 katika chuo kikuu cha mt.augustino Mwanza jana.

Pia katika hotuba yake aligusia suala la udini ambalo limekuwa likitaka kujitokeza hapa nchini kwa kuwataka wananchi wote kuwa wazalendo kwa nchi yao.

Nawe mbunge wa Bunda Mh.Nyambari Nyangwine amewataka wasomi wa vyuo vikuu kujikita zaidi katika suala la ujasiliamali na kuondoa dhana potofu iliyojengeka kwa wanazuoni wengi ya kutaka serikali iwaajiri.
Mhadhiri denis mpagaze wa kwanza kulia,akiwa na padri charles kitima


Padri charles kiitma akiongea kuhusu mjadala wa amani na maendeleo jana katika ukumbi wa m13
Padri Charles Kitima akichangia mjala wa amani na maendeleo

Mheshimiwa Mbunge wa Bunda wa pili toka kushoto meza kuu,Nyambari Nyangwine akimsikiliza Padri Kitima



Mhadhri Denis Mpagze akimsikiliza Dokta Charles Kitima jana 

Wanafunzi wa Baso mwaka wa pili wakisikiliza mjadala jana.

Wanafunzi, pamoja na waandishi wa habari wakiwa katika mjadala jana.





Kutoka kulia wa kwanza ni Aidan Mukandara Mwanafunzi wa BAPRM1ambaye alipata fursa ya kumuuliza mh.waziri swali jana katika mjadala wa amani na maendeleo.

wanafunzi wakisikiliza mada husika jana

wanafunzi wakisikiliza mada husika jana

wanafunzi wakisikiliza mada husika jana

wanafunzi wakisikiliza mada husika jana

wanafunzi wakisikiliza mada husika jana

wanafunzi wakisikiliza mada husika jana

wanafunzi wakisikiliza mada husika jana

wanafunzi wakisikiliza mada husika jana

wanafunzi wakisikiliza mada husika jana,pamoja na waandishi wa habari mbalimbali.










Wanafunzi wa saut wakifuatilia mjadala jana

Wanafunzi wa saut wakifuatilia mjadala jana

Wanafunzi wa saut wakifuatilia mjadala jana

wanafunzi wakisikiliza mada husika jana



Wanafunzi wa saut wakifuatilia mjadala jana
Mgeni Rasmi na viongozi wengine watitoka nje ya ukumbi wa m13 jana

Mhe.Steven Wasira akiongea na vyombo vya habari jana SAUT

Hapa ni  mgeni rasmi Alipo kuwa akiongea na wanafunzi wa SAUT

Mhe.Steven Wasira akiongea na vyombo vya habari jana SAUT



Mkuu wa idara ya mawasiliano ya umma,Bi Iman Duwe akiwa katika sura ya tabasmu na Amani Mbwaga mara tu baada ya mjadala kumalizika.

Thursday, 6 June 2013

Uvivu wamponza Mr Nice,atimuliwa Kenya.


Msanii kutoka Tanzania aliekuwa akifanya kazi chini ya Lebo ya Groundpa Records kutoka nchini Kenya Mr Nice ametoshwa na lebo hiyo kwa kuvunjiwa mkataba wa kazi,alikuwa amesaini chini ya Groundpa Records.
Kwa mujibu wa Groundpa Records wametoa sababu zilizowasukumua kumpiga chini Mr Nice kuwa ni msanii Mvivu,asie na ushirikiano wala kuaminika mbali na sababu hizo waliendelea kusema kuwa amekuwa akitumia vibaya pesa apatazo baada ya kufanya show,amekuwa bingwa wa kuwapa watu ofa za pombe
lakini sababu kubwa waliyoisema ni kwamba alikuwa amesaini mikataba miwili ni ule aliosaini kwa Lamar kutoka Tz na Sallam Sharaf CEO of Grandpa Records Refigah amesema kuwa Mr Nice amemkatisha sana tamaa na hamuitaji tena katika Lebo yao ya Groundpa tena maana habebeki.

Karibu nyumbani Morogoro Ngwear,leo tunakupokea kwa nyimbo za maombolezo,Hayo ni maneno ya Afande Sele aliyoyasema kwa huzuni kubwa mwili wa marehemu ilipowasili.

Msanii wa muziki wa Hip Hop bongo anaeishi Morogoro na kufanya shughuli ya Muziki akiwakilisha Mkoa wa Morogoro Afande Sele The King amewakaribisha watu wanaofuatana na Mwili wa Marehemu Albert Mangwear kwa ajiri ya kumpumzisha katika makazi yake ya kudumu kesho.
“Karibu nyumbani morogoro Ngwear leo tunakupokea kwa nyimbo za maombolezo, may your Soul Rest in Peace”
Mwili wa Msanii Ngwear umeagwa Leo jijini Dar es salaam katika viwanja vya Leaders na kupewa heshima ya mwisho na watu wengi waliojitokeza katika viwanja hivyo,baada ya kutoa heshima ya Mwisho mwili ulianza kusafirishwa kutoka Dar es salaam na kuelekea Mjini Morogoro kwa ajiri ya mazishi yatakayofanyika siku ya Kesho alhamisi ya Tarehe 6 June.