advert

http://

Friday 7 June 2013

MATUKIO YA MJADALA WA AMANI NA MAENDELEO ULIOFANYIKA KATIKA CHUO KIKUU CHA MT.AUGUSTINO KATIKA UKUMBI WA M13

Mhe.Steven Wasira akiwa na Padri Kitima na Nyambari Nyangwine,Denis Mpagaze na Bw..Kirangi katika meza kuu.
Mheshimwiwa steven wasira akisoma hotuba yake ya mbele ya wanafunzi wa  Saut,katika ukumbi wa m13 katika chuo kikuu cha mt.augustino Mwanza jana.

Pia katika hotuba yake aligusia suala la udini ambalo limekuwa likitaka kujitokeza hapa nchini kwa kuwataka wananchi wote kuwa wazalendo kwa nchi yao.

Nawe mbunge wa Bunda Mh.Nyambari Nyangwine amewataka wasomi wa vyuo vikuu kujikita zaidi katika suala la ujasiliamali na kuondoa dhana potofu iliyojengeka kwa wanazuoni wengi ya kutaka serikali iwaajiri.
Mhadhiri denis mpagaze wa kwanza kulia,akiwa na padri charles kitima


Padri charles kiitma akiongea kuhusu mjadala wa amani na maendeleo jana katika ukumbi wa m13
Padri Charles Kitima akichangia mjala wa amani na maendeleo

Mheshimiwa Mbunge wa Bunda wa pili toka kushoto meza kuu,Nyambari Nyangwine akimsikiliza Padri Kitima



Mhadhri Denis Mpagze akimsikiliza Dokta Charles Kitima jana 

Wanafunzi wa Baso mwaka wa pili wakisikiliza mjadala jana.

Wanafunzi, pamoja na waandishi wa habari wakiwa katika mjadala jana.





Kutoka kulia wa kwanza ni Aidan Mukandara Mwanafunzi wa BAPRM1ambaye alipata fursa ya kumuuliza mh.waziri swali jana katika mjadala wa amani na maendeleo.

wanafunzi wakisikiliza mada husika jana

wanafunzi wakisikiliza mada husika jana

wanafunzi wakisikiliza mada husika jana

wanafunzi wakisikiliza mada husika jana

wanafunzi wakisikiliza mada husika jana

wanafunzi wakisikiliza mada husika jana

wanafunzi wakisikiliza mada husika jana

wanafunzi wakisikiliza mada husika jana

wanafunzi wakisikiliza mada husika jana,pamoja na waandishi wa habari mbalimbali.










Wanafunzi wa saut wakifuatilia mjadala jana

Wanafunzi wa saut wakifuatilia mjadala jana

Wanafunzi wa saut wakifuatilia mjadala jana

wanafunzi wakisikiliza mada husika jana



Wanafunzi wa saut wakifuatilia mjadala jana
Mgeni Rasmi na viongozi wengine watitoka nje ya ukumbi wa m13 jana

Mhe.Steven Wasira akiongea na vyombo vya habari jana SAUT

Hapa ni  mgeni rasmi Alipo kuwa akiongea na wanafunzi wa SAUT

Mhe.Steven Wasira akiongea na vyombo vya habari jana SAUT



Mkuu wa idara ya mawasiliano ya umma,Bi Iman Duwe akiwa katika sura ya tabasmu na Amani Mbwaga mara tu baada ya mjadala kumalizika.