advert

http://

Sunday 26 May 2013

Bayern Munich Mabingwa wapya wa Ulaya


Bayern Munich

Arjen Robben aliifungia klabju yake ya Bayern Munich goli dakika za mwisho mwisho za mechi yao ya fainali ya kuwania kombe la klabu bingwa barani Ulaya dhidi ya Borussia Dortmund, na kuisadia mabingwa hao wa ligi ya Bundesliga ya Ujerumani kutwaa ubingwa wa kombe la klabu bingwa barani Ulaya.
Ushindi huo kwa Bayern wa magoli mawili kwa moja sasa unafuta rekodi yao mbaya ya kupoteza kombe hilo mara mbili katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita, ikiwemo, kushindwa kwao na Chelsea mwaka uliopita katika uwanja wao wa nyumbani wa Allianz Arena, kupitia mikwaju ya penalty.
hata hivyo Bayern sasa wameandikkisha historia nyingine ya kushinda kombe hilo kwa mara ya tano katika historia ya klabu hiyo.
Vilabu vya Real Madrid na Ac Millan ndivyo vimewahi kushinda kombe hili mara nyingine zaidi.
Real Madrid imeshinda mara tisa nayo Ac Millan imeshinda mara saba.
Kocha wa Bayern Jupp Heynkes ambaye anakamilisha kandarasi yake na Bayern sasa anaiga klabu hiyo kwa furaha baada ya kushinda kombe hilo kwa mara ya kwanza.
Pep Gaurdiola anatarajiwa kuchukua mahala pa Heynkes msimu ujao.

Saturday 25 May 2013

Bingwa wa Uropa kufuzu kombe la Ulaya

Chelsea mabingwa wa Uropa
Washindi wa kombe la Uropa mwaka wa 2015 watafuzu moja kwa moja kwa michuano ya kuwania kombe la klabu bingwa barani Ulaya msimu utakaofuata.
Hayo yamethibitishwa rasmi na shirikisho la mchezo wa soka barani Ulaya EUAFA.
Kwa mujubi wa UEFA, umauzi huo umechukuliwa ili kuimarisha viwango vya soka katika fainali hizo na pia kuifanya ligi hiyo ya Uropa ambayo ni ya pili kwa ukubwa kuvutia zaidi.
Uamuzi huo uliochukuliwa wakati wa mkutano mkuu wa EUFA, inajiri baada ya miezi kadhaa ya mazungumzo kati cha shirikisho hilo na chama kinachoakilisha vilabu barani Ulaya..
Wakati huo huo mkutano huo, umeidhinisha kuwa fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya mwaka wa 2015, itachezwa katika uwanja wa Olimpiki wa Berlin, huku fainali ya kombe la Uropa kuchezwa katika uwanja wa Kitaifa wa Warsaw.
Ligi ya Uropa haizalishi kiasi kikubwa cha fedha na pia haiangaziwi pakubwa na vyombo vya habari kwa michuano ya klabu bingwa barani Ulaya.
Kwa mara kadhaa EUFA imejaribu mikakati kadhaa ya kuifanya shindano hilo kuvutia zaidi ikiwemo kubadili jina kutoka kwa kombe la UEFA mwaka wa 2009 na kuitwa kombe la Uropa.
Kwa sasa, timu zinazomaliza katika nafasi ya tatu katika makundi yao kwenye fainali za klabu bingwa hushushwa daraja na kushiriki katika kombe hilo la Uropa.
Fainali ya mwaka huu, ilivutia timu mbili ambazo zilifuzu kuambatana na sheria hiyo, na Chelsea ikiibuka na ushindi wa magoli mawili kwa moja dhidi ya Benfica katika fainali.Chanzo cha habari ni http://www.bbc.co.uk/swahili/michezo

Fainali ya kombe la klabu bingwa Ulaya


Wachezaji wa Bayern Munich wakichuana na Borussia Dortmund
Fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya kwa mara ya kwanza, itahusisha timu mbili kutoka Ujerumani siku ya Jumamosi, ishara ya ufanisi wa ligi kuu ya Bundesliga ya kuwekeza katika kukuza vipaji hasa raia wa nchi hiyo.
Maandalizi yote yameshakamilika katika uwanja wa Wembley, na Kombe la Ligi ya mabingwa wa ulaya linameremeta, likisubiri nani atakayelinyakua kati ya vilabu viwili vya Ujerumani vitakavyokutana kwenye fainali.
Borussia Dortmund na Bayern Munich ziko tayari pia.
Mahasimu hao wa Ujerumani wamekuwa wakijiandaa kukutana ugenini Uingereza na mashabiki wamekuja kwa wingi.

Badala ya vilabu vya Uhispania na Uingereza ambayo vimekuwa vinahodhi soka ya Ulaya, sasa ni vilabu vya Ujerumani, licha kwamba nchini humo matajiri wakubwa hawaruhusiwi kumiliki vilabu.

Soka imeimarika Ujerumani?

Raia wengi wa Ujerumani wanasubiri fainali hiyo kwa hamu na ghamu na Chancellor Angela Markel atakuwepo katika Uwanja wa Wembley kutizama fainali hiyo.
Ikiwa huu ni mwanzo wa vilabu vya Ujerumani kutawala soka ya ulaya, haijalishi mashabiki wanashabikia klabu gani, tayari watakuwa washindi.
Takriban wachezaji wote wa timu ya taifa ya Ujerumani, watakuwa uwanjani wakati wachezaji wa Klabu ya Bayern Munich watakapotoana jasho na Borussia Dortmund, katika uwanja wa Wembley, wengi wa wachezaji hao wakiwa wametoka katika vyuo viwili vinavyomilikiwa na vilabu hivyo.
Hali hii kwa vilabu vingi vya uingereza ni kama ndoto. Na ila kufahamu jinsi vilabu hivi viliafikia ufanisi huu, tutaanza mwaka wa 2000.
Huo ni mwaka ambao Wajerumani walidhalalishwa katika mashindano ya bara Ulaya, wakati walipomaliza katika nafasi ya mwisho katika kundi lao hata bila kushinda mechi moja.
Wachezaji wengi wa timu ya Ujerumani waalikuwa wakonge na magazeti nchini Uholansi yaliandika kuwa ni fahari yao kuona viwango vya soka vikianguka na kuwa wakati wa Ujerumani kutawala mchezo huo umemalizika.
Wakati huo huo timu za taifa za wachezaji wasiozidi umri wa miaka 21 na 19 vile vile vilikuwa na matokeo mabaya, kwa sababu ya upungufu wa wachezaji wenye vipaji na ukosefu wa vilabu vya kutosha.
Kutokana na mazingira hayo yote, mchezo wa soka nchini Ujerumani ulionekana kuelekea kusambaratika zaidi, hatua iliyolazimisha shirikisho la mchezo wa soka nchini humo, vilabu na mashabiki kuanzisha mazungumzo ya pamoja, ya kutafuta mbinu ya kurekebisha hali hiyo.

Kilichofuata na mabadiliko ya kimsingi ikiwa ni pamoja ya kuwekeza zaidi katika vijana walionekana kuwa na vipaji na pia katika secta ya kuwahimiza vijana wengi kuanza kucheza mechi huo.
Mikakati hiyo ilianza kuzaa matunda na wachezaji wengi wasiozidi umri wa miaka 23, walianza kujumuishwa katika vikosi mbali mbali vya timu vilivyokuwa vikishiriki katika ligi kuu ya Bundesliga.
Mwaka wa 2006, timu ya taifa ya Ujerumani iliyojumuisha vijana wengi chipukizi ilimaliza katika nafasi ya tatu katika fainali za kombe la dunia na mwaka wa 2010 vile vile walimaliza katika nafasi hiyo.
Katika fainali hizo mbili za kombe la dunia, tuzo la mchezaji bora mchanga iliyakuliwa na wachezaji wa Ujerumani Lukas Podolski mwaka wa 2006 na Thomas Mueller mwaka wa 2010.

Tangu wakati huo vilabu vya Ujerumani na vimekuwa vikiandikisha matokeo mema, na mbali ya wachezaji wengi kusajiliwa na vilabu vinavyoshiriki katika ligi ya Bundesliga baadhi yao pia wamesajiliwa na vilabu vingine katika mataifa ya Ulaya.Chanzo cha habari http://www.bbc.co.uk/swahili/michezo

Rais Museveni afanya mabadiliko jeshini

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amefanya mabadiliko katika makamanda wake wakuu wa jeshi , huku kukiwa na taarifa za kutofautiana kwa majenerali wa jeshi kuhusu ikiwa mwanawe Museveni anaweza kumrithi babake kama rais.
Mkuu wa majeshi, Aronda Nyakairima aliyetajwa katika taarifa iliyofichuliwa kuwa mmoja wa wanaopinga mwanawe Museveni Muhoozi Kainerugaba kumrithi babake, amehamishwa hadi wadhifa wa kiraia kuwa waziri wa mambo ya ndani.
Taarifa za kutofautiana kwa majenerali jeshini ziliibuka mapema mwezi huu wakati magazeti ya Uganda yalipochapisha barua kutoka kwa Generali mkuu David Sejusa Tinyefuza, akidai kuwa Museveni anamtayarisha mwanawe kumrithi atakapoachia ngazi.
Barua hiyo pia inasema kuwa Museveni anapanga kuwaua wale wanaopinga njama yake.
Majenerali kadhaa wakuu walipinga barua ya Tinyefuza wakati kundi la wachache likimuunga mkono.
Mabadiliko katika jeshi yanakuja baada ya magazeti makuu ya upinzani yaliyotoa madai ya mgawanyiko jeshini , yakisalia kufungwa kwa siku ya tano huku polisi wakiendelea kufanya msako katika ofisi zao kuitafuta barua hiyo.
Taarifa ya serikali imesema mabadiliko hayo sio makubwa bali ni madogo katika kuhakikisha serikali inafanya vyema kazi yake.
Hata hivyo msemaji wa jeshi Paddy Ankunda alisema kuwa hayo ni mabadiliko ya kawaida jeshini.
Ankunda alisema kuwa hakuna mgogoro jeshini na kuongeza kuwa Museveni ana haki ya kufanya mabadiliko yoyote kama anavyoridhia.
Mkuu mpya wa majeshi ni Edward Katumba Wamala, ambaye amelimbikiziwa sifa tele kwa kuongoza jeshi la Uganda katika vita dhidi ya wapiganaji wa kiisilamu (Al Shabaab) nchini Somalia.
Ofisi za magazeti ya Daily Monitor na Red Pepper zilifungwa na kuzuiwa kuchapisha magazeti yoyote na yameendelea kufungwa licha ya agizo la mahakama kutaka polisi kuondoka katika ofisi hizo.Chanzo http://www.bbc.co.uk/swahili/habari

KAMA HUTOJALI SOMA PROPOSAL HII NA ONGEZA OR PUNGUZA CHOCHOTE..KARIBUNI WANAZUONI



Kill one frighten ten thousands; are Tanzanian journalists really terrified? 

Introduction 
“Kill one frighten ten thousand” is an idea developed by Sun Tsu in 4th C to explain how the use of fear and intimidation are being used as mechanisms of controlling and silencing specific enemies. The technique was so common in politics but today journalism industry is facing the music. The talk of the day in today’s Tanzania is that, “if you want to endanger your life practice good journalism (the kind of journalistic style of saying it as it is)”. They will haul out your nails; knock off your teeth, hack off your legs, pierce your eyes, pouring acid on your eyes, emasculate you and proclaim the torture to the public to terrify others. The ambush and attacks against the chairperson of Tanzania Editors’ Forum on March 5, 2013 at his home manifests Sun Tsu’s idea. Today Kibanda has become a monocular because of journalism. Another veteran journalist based in Mwanza, Richard Masatu, was kidnapped, tortured and beaten to death and till today, no one has been arrested in connection with his murder. Some hours before his kidnapping, he received a call from a man who said he had a big story about the very same subject he had been chasing for weeks (The Guardian on Sunday March 24-30, 2013, p.12). 

In December, 2007 the founder and editor of the banned Mwanahalisi newspaper, Saed Kubenea was attacked by unknown thugs who threw acid on his face. After the attack Kubenea couldn’t open his eyes and he was flown to India for further treatment. TV journalist Daud Mwangosi was killed while covering political issue in Nyololo Mbeya. 

This technique is so powerful. For example the kidnapping and torture of Dr. Ulimbuka succeeded in frightening the striking doctors. Dr. Ulimboka was the leader of the countrywide doctor’s strike that put the government at the cross roads for months in 2012, after the medics refused to work demanding better pay and improved working conditions. 

This study therefore wants to understand how much do Tanzanian journalists terrified by torture, killings and ambush from thugs and the future of journalism in Tanzania. 

Journalistic style of saying it as it is: When did it started in Tanzania?
Journalistic style of saying it as it is has been a major cause of all these threats against journalists in Tanzania. After three decades of one-party rule, the introduction of pluralism into Tanzanian politics in the early 1990s resulted in the breakup of the government’s monopoly over the media, producing an unprecedented proliferation of media outlets and the emergence of a lively free press opened up the room for this kind of journalistic style of saying it as it is. Newspapers have been able to uncover and report fraud, corruption and mismanagement or abuse of office by public officials. Eighty seven case studies have been listed ranging from the fire that gutted down the Central Bank building, the Chavda scandal, Loliondo scandal, MV Alina scandal to the purchase of two defective jumbo jets (Boeing 747) from one Palestinian tycoon. Of late, the media has increasingly taken up its role of watchdog. Issues that have been reported extensively and consistently include high level corruption in government, suspect mining contracts with foreign firms, unimplemented power generation contracts, alleged Bank of Tanzania shady deals, and political corruption within the ruling party (Media Council of Tanzania, 2008, p. 30). For sure this is a kind of journalism of saying it as it is. 

Despite the existence of draconian laws, journalists in Tanzania have been able to uncover and criticize the government and the public has witnessed lively examples. Among others is the resignation of the premier of Tanzania. With these laws journalists have been detained, beaten up while newspapers banned out. But journalists never stop to do their job for the public interests. Now what is most terrifying is this new technique of silencing the journalists. It raises doubt whether journalists will survive to say all as it is. 

Torture and killings of journalists in historical perspective
The history of torture, assassination, killings and all sorts of ambushes that journalists have goes back to 300s BC. The history shows that authorities in various states have been struggling to control the flow of information in their societies lest the public understand their weakness and challenge the authority. It is believed that the more the masses know about the workings of the state, the less stable is (Mpagaze, 2012). Basing on this knowledge freedom of information became enemy number one of any government everywhere in the world. For example when in 5000BC people learned to cast messages into written languages on clay tablets and stones was very big threat to the authorizes because media enabled people to organize their lives in a rational ways and became less dependent on the whims of their gods. This development was negatively embraced by the authorities (gods) as they regarded it as, “subversive, destructive and sinful” (Hierbert and Gibbons, 2000, p. 7) therefore all matters about writing were put under the authority control and it was made difficult and impossible for ordinary people to cast writings on a stone. Also in 2500 BC when too much freedom of writing to the majority ordinary people would bring challenge to the authority, Egyptian Pharaoh restricted writing to a privileged profession of scribes. Moses was among the few scribers who had access to freedom of writing thus why when he (MOSES) received Ten Commandments caved on stone and produced the first five books of the bible (Torah). Likewise Moses restricted his works (the Bible) to privileged priests. 

In about AD 496, Pope Gelasius I of England issued one of the first catalogues of censored books to excommunicate from the church all those who were caught reading. In the very same country Pope Innocent IV in 1252, gave inquisitors permission to use torture against heretics (those who spoke or wrote against the church). Several thousand “heretics” were burned at the stake or strangled to death as the result of the permission (Fellow, 2013, p.5). Worse, by the early fifteenth century, the church in England was so powerful that it ordered the bones of the religious leader John Wycliffe to be dug up, burned, and thrown into England’s Thames River for translating the Bible from Latin to English without church approval. 

Through easy flow of information leaders normally fear the masses might form dangerous opinions about their authority and challenge them. This belief has made so many states to maintain draconian laws to cub the free flow of information. England and all of its colonies have very bad laws which hinder press freedom. For example Queen Elizabeth ordered one writer, William Carter, who had written an incendiary pro-Catholic pamphlet, tortured, and hanged. In 1633, printer John Twyn was accused of having printed a pamphlet that advocated the overthrow of an absolute monarchy. He was sentenced to be hanged, cut down while still alive, and then emasculated, disemboweled, quartered, and beheaded—the standard punishment for treason.

In Africa the story is almost the same. Carlos Cardoso was assassinated…………..In Tanzania there are more than 16 draconian laws which restrict free flow of information but journalists have been able to say it as it is. With all these draconian laws still journalists are doing very good job of exposing corruption and mismanagement of public fund. It is media which uncovered BoT scandal and Richmond which voted out the prime mister. As time goes draconian laws seem to be very weak because journalists some time use social media which its control remain mirage. Therefore to terrify and silence journalists from saying it as it is, new techniques of torture, ambush has been established. It has been tested to Absolum Kibanda who is still at South Africa for medication and nobody knows whether the man will continue with journalism. The torture was set out to shake the media industry. This study therefore explore whether journalists are terrified with such terrorism attacks. 

Torture and killings of journalists in 21st C
The 21st century remains to be the decade of high killing and torture of journalists in different corners of the globe. Currently 30 journalists die every year others are force to live in exile. The most appalling journalism killings are the death of Anna Politikoviskaya and Carlos Cardos. The experience shows that these journalists were killed to hide evils by their governments. Assassination of Anna Politkoviskaya, the Russian journalist, writer and human rights activist, took place on 7 October 2006. She was well known for her opposition to the Chechen conflict and criticism of Russian President Vladimir Putin. Carlos Cardoso died one day before publishing the article on big embezzlement of Bank of Mozambique. 

Kill one, frighten ten thousand: Theoretical perspective
Fear is a crippling emotion, and the use of fear, intimidation, and a sense of isolation are powerful mechanisms of control (Beth , 2013) . Experts in terrorism and conflicts studies argue that intimidation is the major mechanism used by terrorists to muzzle oppositions. They use what Sun Tsu called during 4th Century, “kill one frighten ten thousand”. The available studies on terrorism and journalism focus on blaming media and journalists as major causes of terrorism in the world. They believe that journalists participate in reinforcing fear to the public through TV and newspapers. But no any study which actually discusses how terrorism techniques are used to silence journalism groups. In politics, this technique of killing one terrify ten thousands strives and we have witnessed so many politicians being assassinated.

Methodology 
100 journalists from private media institutions based in Dar es Salaam will be chosen for the study to see whether journalists are terrified with the ongoing torture and killing of fellow journalists and the future of journalism of saying it as it is in Tanzania. All major media institutions and outstanding journalists are based in Dar es Salaam. Researcher will visit three serious newspapers namely, The Guardian on Sunday, Daily News and The Citizens, serious two radio stations; Radio One and Radio Free Africa and two serious television stations; ITV and Channel Ten. The study will follow case study approach typical of in-depth interviews with reporters and editors. Reporters will be interviewed because of the great importance of searching for news while editors will be interviewed because they are final decision makers of whether a story is published or killed out. 

All interviews will be conducted away from the newsrooms but in a personally relaxing and friendly atmosphere. Interviews will begin with a very open-ended general narrative of how they see these new style of killing and torture of their fellow journalists to the future of their journalism profession and then focusing on a detailed narrative of their role as journalists in the period of terror. 

Interview guide
1. What do you think the future of journalism in the Tanzania is?
2. What kind of story is likely to put journalists in trouble?
a. Political
b. Business
c. Social 
d. Health
3. Which of the following categories best describes your current position in your newsroom?
a. Editor in chief
b. Managing editor
c. Desk head or assignment editor
d. Department head
e. Senior editor
f. Producer
g. Reporter
h. News writer
i. Trainee
j. Other, please specify: ……………………………………….…
4. Which of the following categories best describes your current employment: full-time, part-time, freelancer, or other?
1 Full-time employment
2 Part-time employment
3 Freelancer 
4 Other, please specify: ……………………………………….…
5. Please tell me, in your own words, what should be the three most important roles of journalists 

6. Thinking of your work overall, how much freedom do you personally have in selecting news stories you work on? 
5 complete freedom
4 a great deal of freedom
3 some freedom
2 little freedom
1 no freedom at all
7. Given an important story, which of the following, if any, do you think may be justified on occasion and which would you not approve of under any circumstances? 
1 always justified
2 justified on occasion
3 not approve under any circumstances
a. Paying people for confidential information
b. Using confidential business or government documents without authorization
c. Claiming to be somebody else
d. Exerting pressure on unwilling informants to get a story
e. Making use of personal documents such as letters and pictures without permission
f. Getting employed in a firm or organization to gain inside information
g. Using hidden microphones or cameras
h. Using re-creations or dramatizations of news by actors
i. Publishing stories with unverified content
j. Accepting money from sources
k. Altering or fabricating quotes from sources
l. Altering photographs
8. Here is a list of potential sources of influence. Please tell me how much influence each of the following has on your work. 
5 extremely influential
4 very influential
3 somewhat influential
2 little influential
1 not influential
a. Your personal values and beliefs
b. Your peers on the staff
c. Your editorial supervisors and higher editors
d. The managers of your news organization
e. The owners of your news organization
f. Editorial policy
g. Advertising considerations
h. Profit expectations
i. Audience research and data
j. Availability of news-gathering resources
k. Time limits
l. Journalism ethics
m. Religious considerations

9. Hivi karibuni Tanzania inazidi kushuhudia mbinu mpya za mauaji na utesaji wa waandishi wa habari pamoja na wale wote wanaopigania haki za wanyonge. Je unafikiri ni kwa nini hali hii inawakuta baadhi ya waandishi na wengine haiwakuti?

10. Je kunaukweli wowote kwamba kukithiri kwa bad journalism (kuwatishia watu kwa njia ya kujipatia pesa ndo inapelekea) kuteswa?

11. Je kutokana na taaluma yenu na idadi ndogo ya mishahara mnayolipwa, mpo tayari kufuata nyao za ndugu zenu hao waliopoteza maisha kwa kuendelea kufanya kazi walizoacha? 

12. Na je kama mnajua walizifanya na wakauawa na leo hii familia zao na watoto wao walio wategemea zinateseka bado nanyi mtaendelea angali mna watoto ambao hata sasa maisha yao ni ya kawaida angali mpo hai?

13. kama mtaendelea ni sababu gani muhimu zitazowafanya muendelee mfe kama wenzenu angali mna familia zawategemea na mkikubali kufa au kufungwa jela kama wenzenu ina maana mmkubali familia zenu kuendelea kuteseka, maana inasemekana mnafanya kazi hizi bila mikataba na insuarance.

Wednesday 22 May 2013

Upinzani walaani uvamizi Uganda


Upinzani walaani uvamizi Uganda


Ofisi za Gaeti la Daily Monitor zilizovamiwa na polisi wa Uganda
Mkuu wa majeshi wa zamani nchini Uganda ambaye sasa ni kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for democratic Change FDC Meja Generali Mustaafu Mugisha Muntu amelaani hatua ya sasa ya serikali ya amiri jeshi mkuu wake wa zamani ya kuandama na kuzingira ofisi za magazeti ya The Daily Monitor pamoja na Redpepper.
Akiongea na waandishi wa habari nchini Uganda, Bwana Muntu alisema kuwa Rais Museveni anahofia kuwa udhibiti aliokuwa nao kwa vyombo vya usalama na ulinzi umeanza kusambaratika na hivyo kumtia hofu zaidi Museveni.
Polisi nchini Ugandan waJumatatu walivamia ofisi za magazeti kufuatia taarifa kwamba Rais Yeweri Museveni anamuandaa mwanawe wa kiume kumrithi urais.
Vituo viwili vya Redio pia vilivamiwa na kuzimwa , hii ni kwa mujibu wa gazeti la serikali la New Vision.
Wiki iliyopita magazeti ya Uganda yalidai kuwa kuna njama za kuwaua wale watakao pinga mpango wa Rais Museveni kumuandaa mwanawe kuchukua madaraka ya Uganda.
Magazeti hayo yalidai kuwa mipango hiyo ya mauaji yalitolewa na Mkuu fulani wa jeshi la Uganda.
Bwana Museveni, ambaye amekuwa madarakani tangu 1986, anatarajiwa kung'atuka uongozini mwaka 2016.
Kwa muda mrefu kumekuwa na madai kwamba Museveni anamuandaa mwanawe Muhoozi Kainerugaba,ambaye ni brigadier jeshini kushikilia uongozi wa Uganda.
Lakini serikali ya Museveni imekanusha kwamba kuna mipango kama hiyo.

Mwanawe Museveni Brig. Kainerugaba.

Wiki iliyopita gazeti la, the Daily Monitor,na jengine la , Red Pepper, lilichapisha barua ya siri ikidai ilikuwa imeandikwa na Jeneral David Sejusa, ikitaka uchunguzi ufanywe kuthibitisha madai kwamba kuna mipango ya kuwauwa wote watakao piga mipango ya Rais Museveni kumpachika mwanawe uongozini.
Uvamizi huo wa polisi umeidhinishwa na mahakama ya Uganda na ulikuwa unalengo la kutafuta barua hiyo inayodaiwa kuandikwa na mkuu huyo wa Jeshi akifichua njama za mauaji.
Vituo viwili vya Redio vinavyohusiana na Daily Monitor, Dembe FM na KFM, pia vilivamiwa na kuzimwa.

Rais Yoweri Museveni
Mkurugenzi Mkuu wa Daily Monitor Bwana Alex Assimwe aliambia BBC kwamba Chumba chao cha Habari kilivamiwa na polisi wapatao 50 waliojihami kwa silaha.
Lakini wachanganuzi wa maswala ya kisiasa wanadai kuwa ikiwa barua ya Jenerali Sejusa ni ya kweli basi ni dalili kuwa kuna hali mvutano ndani ya jeshi huku ikidhaniwa kuwa wanajeshi wakongwe huenda wanapoteza uwezo kwa wanajeshi chipukizi wanaoongozwa na mwanawe Museveni Brigadia Kainerugaba.
Jenerali Sejusa ni mwanajeshi mkongwe aliyekuwa katika vita vya ukombozi uliyomuweka Rais Museveni madarakani mwaka1986.
Kwa muujibu wa taarifa za AP kamanda mmoja wa jeshi Jenerali Aronda Nyakairima amenukiliwa akisema kuwa Jenerali Sejusa kwa wakati huu anachunguzwa kutokana na barua anayodaiwa kuiandika.

Wengi wafariki kufuatia Kimbunga, Oklahoma


Kimbunga kikubwa kimepiga Jimbo la Oklahoma, nchini Marekani na kuharibu kabisa mitaa.
Maafisa wanasema zaidi ya watu tisini wamefariki, wakiwemo takriban wanafunzi ishirini ambao shule yao ya msingi iliporomoka.
watoto wakipata tabu
ana
Wanafunzi wengine wanahofiwa kufunikwa na vifusi.
Kimbunga hicho kilipiga mji wa Moore kwa takriban dakika arobaine, na kurusha magari katika vifusi vya nyumba na maduka.
Rais Obama ametangaza hali ya mkasa mkubwa na kuahidi usaidizi wa serikali kwa utawala wa jimbo hilo.
Takriban watu 120 wanaendelea kupokea matibabu hospitalini
Masaa kadhaa baada ya Kimbunga hicho kupiga, shughuli za kuwatafuta manusura ingali inaendelea.
Wanatumia mashine kubwa kujaribu kuwatafuta waliokwama chini ya kifusi ili kuwaokoa.
Mji wa Moore ulipigwa na kimbunga kikubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa kwa muda wa miaka 14 wakati kimbunga kingine kikubwa kilipopiga eneo hilo.
Watu wengine zaidi wanajulikana kuuawa katika Kimbunga hicho.
Hospitali zimekuwa zikiwapokea majeruhi , wengine wakiwa katika hali mbaya zaidi na maafisa wa utawala wanaonya kuwa idadi ya waliofariki huenda ikaongezeka.
Maafisa wakuu wa serikali ya jimbo walitakiwa kuungana katika juhudi za kuwasaka manusura usiku kucha.
Kwa mujibu wa afisaa mkuu wa afya, angalau watoto 20 walikuwa miongoni mwa wale waliofariki.
Shule ya msingi ya Plaza Towers ndiyo iliyoathirika zaidi kuliko sehemu zingine , kimbunga kiliharibu paa ya shule na kuangusha kuta zake zote.
Shule nyingine moja pia ilipigwa na kimbunga hicho lakini walimu walifanikiwa kuwaokoa wanafunzi.

Drogba atemwa na kocha wa Ivory Coast


Aliyekuwa nahodha wa timu ya taifa ya Ivory Coast na
didier drogba
nyota wa Chelsea, Didier Drogba, ameachwa nje ya kikosi kitakachoakilisha Ivory Coast kwenye mechi ya kufuzu kwa kombe la dunia dhidi ya Gambia na Tanzania.
Hii ni mara ya pili mtawalia kwa kocha wa timu hiyo Sabri Lamouchi kumuacha mchezaji huyo mwenye umri wa miaka Thelathini na Tano.
Mchezaji huyo hakuonyesha mchezo mzuri wakati wa fainali za kombe la mataifa ya Afrika nchini Afrika Kusini hatua iliyomlazimisha kocha huyo kumuacha nje ya kikosi chake kilichocheza na Gambia mwezi Machi mwaka huu.
Mlinda lango wa Manchester City, Kolo Toure, vile vile ameachwa nje ya kikosi hicho cha wachezaji 26.
Lamouchi alisema uamuzi huo ni changamoto kwa Drogba kuimarisha mchezo wake ili aweze kujipa nafasi katika timu hiyo ya taifa.
''Drogba ni mchezaji wa kimataifa na mwenye hadhi kuliko mchezaji yeyote wa timu ya taifa, lakini amekuwa na matatizo katika kipindi cha miezi minane iliyopita'' Alisema Lamouchi.

Dalili za Drogba kustaafu?


Licha ya kocha huyo kusisitiza kuwa Drogba, angali na nafasi ya kucheza mechi za kimataifa, wengi wataanza kujiuliza ikiwa mshambuliaji huyo atapata fursa ya kuongeza idadi ya mechi alizocheza na timu hiyo ya taifa, kutoka tisini na sita hasa kutokana na hali yake kwa sasa baada ya kuisaidia klabu yake ya Galatasaray kunyakua kombe la ligi kuu ya soka nchini Uturuki.
Kocha huyo amewaita Romaric N'Dri Koffi

Madrid yathibitisha kuachana na Mourinho


Klabu ya Real Madrid imethibitisha kuwa kocha wa timu hiyo Jose Mourinho ataondoka kwenye kibarua cha kuifundisha timu hiyo mwishoni mwa msimu.

Rais wa klabu ya Real Madrid,Florentino Perez amewaambia waandishi wa habari jumatatu jioni kuwa Mourinho hatofukuzwa bali wamekubaliana kumaliza mkataba wao na kocha huyo raia wa Ureno.
Aidha Madrid, imeongeza kuwa haijaanza mazungumzo na kocha yeyote kwaajili ya kuchukua nafasi ya Mourinho lakini vyanzo mbalimbali vya habari za michezo zinamtaja kocha wa PSG ya Ufaransa, Carlo Ancelloti kuchukua jukumu la kuifundisha Madrid msimu ujao.
Duru za kimichezo zinasema, Jose Mourinho huenda akarejea nchini Uingereza kuifundisha klabu yake ya zamani ya Chelsea baada ya kuwepo makubaliano baina yake na uongozi wa klabu hiyo.

Saturday 18 May 2013

Afrocentury limited kwa nyumba bora maishani


Afrocentury limited kwa nyumba bora maishani
We design residential house as per client need
We design economical and modern  design every body can afford
KAMILISHA NDOTO YA KUMILIKI NYUMBA YAKO
Bibi Titi Mohamed Street, Sido Business House
P.O. Box 63265, Room No. 15&16A
DAR ES SALAAM
Tel:(0) 22-2153143, Mobile:(0) 712 029027,(0) 763717667
E-mail: marketing@afrocentury.co.tz
Web :  www.afrocentury.co.tz

David Beckham atarajia kustaafu soka


David Beckham atangaza kustaafu kucheza mpira
Nahodha wazamani wa timu ya Soka ya Uingereza David Beckham ameamua kustaafu mwisho wa msimu huu.

Wakati wa kutia saini kandarasi hiyo mwamba huyo wa Uingereza alitangaza kwamba mshahara wake wote atautoa kwa mashirika ya kutoa msaada.Beckham mwenye umri wa miaka 38 alijiunga na timu ya Paris St-Germain mapema mwezi wa Januari kwa kandarasi ya miezi mitano.
Beckham alijunga na timu ya Manchester United akiwa na umri wa miaka 14 na kufaulu kuichezea klabu hiyo mara 398 huku akishinda makumbe sita ya Ligi kuu na kombe la klabu bingwa bara Ulaya.
"Naishukuru sana timu ya PSG kwa kunipa fursa ya kuendelea kucheza lakini nahisi kuwa huu ni wakati mzuri kwangu kumaliza kazi yangu ya kucheza mpira " amesema.
Pamoja na PSG kubeba kombe la Ligue 1 la Ufaransa , katika uchezaji wake Beckham amezoa jumla makombe 19 - 10 kati yao yakiwa ni makombe ya ligi kuu mbali mbali.
Bechkam ndie mchezaji wa kwanza wa Uingereza kuwahi kubeba makombe ya ubingwa wa Ulaya akichezea timu katika nchi nne tofauti.

AKE: KICKING ON


Sunday's Premier League encounter against Everton at Stamford Bridge brings the curtain down on the 2012/13 season, a campaign which Nathan Ake is unlikely to forget in a hurry.
Having started the season featuring predominantly for Dermot Drummy's Under-21s, the versatile Dutchman, who can operate in either defence or midfield, spent the second half of the campaign heavily involved with the first team
After featuring in both the Premier League and FA Cup, Ake was handed his European debut in the away game against Rubin Kazan in the Europa League, before finishing the season as an unused substitute in the final of the competition against Benfica.
On his return from Amsterdam, he was then presented with the club's Young Player of the Year award, leaving him reflecting on a breakthrough period in his career.
'It feels really nice to have won the award,' he tells the official Chelsea website. 'I didn't expect it at the start of the season but when I was announced as the winner I was really happy.
'It's been a good season for me, especially being involved in the Europa League, and I have to give credit to the other players as well because they've helped me so much.
'I started the season with the Under-21s and I was training a bit with the first team as well. In December I began to get more involved with the first team and I was on the bench a few times, plus there were some games where I was in the initial squad but didn't make the bench for the match.'
Ake's big break came over the festive period, when he was introduced as a late substitute in our 1-0 Boxing Day win at Norwich City.
He recalls the moment fondly, and took great heart from Rafael Benitez's decision to send him on in order to help protect our lead.
'I was pretty nervous to be honest but it showed the manager had confidence in me,' he says.
'It was a tight game and it was only 1-0, so it was nice to know he had belief in me. It also happened against Manchester United, which was an important game, so that was good for my confidence as well.
'I started in the away game against Rubin Kazan and the manager has given me a lot of opportunities.
'It's not only about playing; just training with the first team, being involved and sitting on the bench is good for my development.'
With the 18-year-old still eligible to appear in the FA Youth Cup, Ake has combined his first-team involvement with bolstering Adi Viveash's back four in the latter stages of the competition.
After playing in the first leg of the FA Youth Cup final against Norwich City, and with the second leg coming a night before the first team squad flew out for the Europa League final, the youngster could easily have been back in action with the youngsters, but the management had other ideas.
'It was really nice. I heard after the Aston Villa game that I would be travelling but I didn't know I was going to be on the bench,' he explains. 'I was really happy when the manager told me I would be a sub, and it was an amazing experience for me.
'I was expecting to be involved in the Youth Cup, which has been a great competition for me, so to be involved in the Europa League final was a really big moment.
'For us to actually win the trophy as well made it even more enjoyable.'
Having tasted success, Ake is hungry for more, and he will be confident of taking any further opportunities which come his way.
'If you experience the big occasion it makes you want to get there again,' he says. 'Now I just want to work hard and hopefully get more chances to show what I can do.'


Ufaransa yakubali ndoa ya jinsia moja

Ndoa ya jinsia moja
Rais wa Ufaransa, Francois Hollande, ametia saini sheria yenye utatanishi, inayohalalisha ndoa kati ya watu wa jinsia moja.
Makundi ya watu wanaofanya mapenzi ya jinsia moja nchini Ufaransa yamefurahi kuwa hatimaye sheria hiyo imepitishwa.Ufaransa sasa imekuwa nchi ya 14 duniani kuruhusu ndoa kama hizo.
Wanasema kuna marafiki kadha wanaosubiri kufunga ndoa na maelfu ya watoto wanaolelewa na watu wa jinsia moja ambao sasa watapata hifadhi kisheria.
Wanaopinga sheria hiyo wamehamaki.
Wanaona kuwa Rais Hollande ameshughulika mno na ndoa kati ya jinsia moja kwa sababu ameshindwa katika maswala muhimu zaidi - kama swala la uchumi wa nchi.
Maandamano mengine ya kupinga ndoa kati ya jinsia moja yanapangwa kufanywa tarehe 26 May.
Yanaweza kuwa makubwa na ya fujo kama yaliyopita.
Sababu ni upinzani dhidi ya ndoa za jinsia moja umechanganyika na malalamiko mengine ya mrengo wa kulia dhidi ya serikali.
Na hali nchini sasa ni tete.
Lakini kwa kweli vita vimemalizika.
Watu wa jinsia moja sasa wataanza kufunga ndoa nchini Ufaransa.
Baadhi ya wanasiasa wa mrengo wa kulia wataahidi kuwa watabatilisha sheria hiyo wakipata madaraka, lakini historia inaonesha kuwa kufuta mabadiliko kama haya katika jamii ni shida sana.

BENITEZ: LITTLE BY LITTLE



As he prepares for his final competitive game in charge, Rafael Benitez has been considering the progress of his players over the past seven months.
The Spaniard has secured Champions League football and lifted the Europa League trophy since taking over from Roberto Di Matteo back in November.
'It is a stronger team. The players have been improving and have more experience,' he said. 'With young players we say it is a team in transition with people like Mata, Oscar, Hazard, Marin, Moses. They are new players and they are doing well. They are improving and learning, and have experience of competing for trophies which is important in a top side.
'Azpilicueta is now an international for Spain, Torres is stronger and has more confidence. You can see he is doing well. David Luiz has been very consistent in different positions. The key thing is you can trust him, you can tell him to do this or that and he is always keen to do it. It is a bonus for a manager.
'If you see the squad it's not as big as some people were saying. We had new players, young players who needed experience. If you analyse this I can understand why Roberto was playing sometimes the same team or using less players.
'We tried to manage because we knew we had a lot of games and at the beginning some games were not successful but little by little the team had the same idea and physically were stronger.'
Benitez was then asked whether he feels the team could compete for next season's Barclays Premier League title.
'It always depends on the other teams at the same time,' he responded. 'These players are getting older. Some of them will have more experience. They will be even better next year so if you talk about players like Oscar, Hazard, Mata - the three amigos are getting better every day so that will be good.
'The team will be much better and the new manager will have an easier task because he will have more quality and experience, and he will start pre-season.'

CLECK HERE