advert

http://

Thursday 24 October 2013

MUUZA CHIPS AMTEKA MTOTO WA MIAKA 3 HUKO MOROGORO.ADAI SHILINGI MILIONI 6 ILI AMWACHIE!!


MTOTO wa kike mwenye umri wa miaka mitatu, Maryment Ibrahim ambaye anaishi Tandale jijini Dar es Salaam, hivi karibuni alipatwa na masahibu makubwa baada ya kutekwa nyara na kutoroshwa hadi Gairo mkoani Morogoro huku mtekaji akidaiwa kutaka apewe shilingi milioni 6 ili amuachie. 
Tukio hilo la kusikitisha lilitokea Oktoba 16 mwaka huu baada ya kijana mmoja, anayefanya biashara ya kuuza chipsi anayejulikana kwa jina la Issa Ramadhani, kudaiwa kumchukua mtoto huyo aliyekuwa akicheza nyumbani kwao na kutoweka naye kabla ya wazazi wake kubaini na kwenda kutoa taarifa kituo cha Polisi Kijitonyama ‘Mabatini’.

Awali, ilidaiwa Ramadhan alikuwa na tabia ya kuwachukua watoto wadogo wa mtaani hapo na kuondoka nao na kuwarudisha baadaye, kitu kilichowafanya wazazi wa mtoto huyo kutokuwa na wasiwasi.
Mtuhumiwa wa utekaji.

Wakizungumza na mwandishi wetu, wazazi wa mtoto huyo walisema waliamua kutoa taarifa polisi na kufunguliwa jalada nambari KJM/RB/8994/13 baada ya kupashwa kuwa mtekaji ambaye alishaacha kazi yake ya kukaanga chipsi, aliondoka muda mrefu na binti yao na hakukuwa na dalili za kurejea.

Baada ya kuhangaika kwa muda mrefu, wazazi hao pamoja na majirani walifanya uchunguzi wa chinichini na kufanikiwa kupata namba ya simu ya mtekaji huyo, lakini walifanikiwa kubadilishana naye ujumbe mfupi wa simu kwani hakuwa akipokea simu yake ya kiganjani.
Baba mzazi wa mtoto aliyetekwa akiwa na mwanaye.
 Inadaiwa kuwa katika mawasiliano hayo, mtekaji alikataa katakata ombi la kumtaka amrudishe mtoto wao na kutaka apewe kiasi cha shilingi milioni 6 ili kutekeleza jambo hilo ingawa baadaye ilibainika jamaa huyo alikuwa Gairo mkoani Morogoro.
Mtoto Maryment Ibrahim aliyetekwa na Ramadhan.
Wazazi hao walisema kuwa Oktoba 19 mwaka huu mmoja wa majirani walioguswa na tukio hilo aliyejitambulisha kwa jina la Justin Henry alijitolea kusafiri mpaka Gairo kumsaka mtoto na mtekaji wake jambo ambalo lilifanikiwa kwa kumpata mtoto akiwa mzima wa afya japokuwa mtekaji alishtukia na kukimbia.

Source:bongonewss24



 Janjaro msanii kutoka Arusha lakini makazi yake yapo Dar amefunguka   kuwa hajafukuzwa na Ostaz Juma Namusoma kwenye kampuni yake ya Mtanashati bali amejitoa mwenyewe kwa hiari yake. 


Janjaro amesema amechoka na matendo tu ya Ostaz na alikuwa tu akiyavumilia lakini kwa sasa ameshakuwa mkubwa so nataka nikae kivyangu vyangu nifanye mambo yangu kama wasanii wengine ambao hawana meneja na wanafanya poa. Namnukuu Janjaro akisema....
 "Najua yatasemwa mengi kutoka kwa Ostaz Juma ila mimi ndio uwamuzi wangu, kuna watu wanasema sina utovu wa nidhamu lakini hao watakuwa wananijua sasa hivi hawajanifuatilia kutoka nyuma. Hata mtoto mdogo atakuwa mtundu ila akiwa mkubwa hunyooka na kuwa mtoto mzuri sasa nimekuwa mkubwa na kupelekwa pelekwa tena sitaki, kwa maelezo zaidi Ostaz Juma aongee na wazazi wangu asiongee na mimi"
Posted: 23 Oct 2013 03:49 PM PDT

Kampuni ya BlackBerry imeruhusu rasmi utumikaji wa huduma yake ya BlackBerry Messenger kwa simu za Android na iPhones.


Sasa watumiaji wa simu za Samsung kwenye baadhi ya nchi za Afrika wanaweza ku-downlod huduma ya BBM kwenye Samsung Apps Store, huku watumiaji wa iPhone na aina nyingine ya simu za Android ambao ni watumiaji wa smartphone wataanza kuruhusiwa kutumia huduma hii ndani ya siku tatu zijazo.


Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 22 na kwa sasa nipo chuo…. Ninapokuwa likizo nyumbani, huwa napenda kutoka na kutembea na baba yangu kuliko mama yangu.

Nina hili tatizo, nimekuwa nikivutiwa na baba yangu licha ya kujitahidi hali hiyo isitokee inashindikan. Juzi kati wakati mama yangu alipokwenda kwenye harusi nilimshawishi baba na tukaishia kufanya mapenzi.

Kiukweli nina mpenzi ila nimejikuta nikvutiwa zaidi na baba yangu na sielewi ni kwa nini. Najisikia kufanya mapenzi naye tena na tena....

Nifanye nini kuiondoa hali hii....?

Sababu ameniambia mimi ni mtamu kuliko mama (Yeye ni baba yangu wa kambo, ila ni mtamu sana).

Naomba msaada....




A drink driver who crashed his sports car into the side of a house, narrowly missing a sleeping child, has been banned from the road for two years.
 
Lewis Richardson, 22, lost control of his red Audi TT while trying to find his girlfriend after an argument during a night out. 
 
The salesman crashed through a hedge and fencing before his car ricocheted off the top of two parked cars and crashed through a house in Carlton Colville near Lowestoft, Suffolk.

1.LADY JAY DEE 
Mwanadada JIDE ama binti machozi ameweza kuongelewa sana kama msanii anayeheshimika sana tanzania kutokana na idadi kubwa ya watu walio hojiwa kumtaja yeye kama ndo mwana muziki mwenye kuheshimika sana tanzania kwa upande wa muziki wa kizazi kipya.


2.PROF J
Prof J naye hakuwa nyuma katika kutajwa na idadi kubwa,Prof j kama muhasisi mkubwa wa huu muziki wa kizazi kipya anaheshimika sana kutokana na mchango wake mkubwa katika hii gemu bila ya kuwa na sifa mbaya zinazo weza kumchafulia heshima yake
3.FID, Q
HUYU ni msanii aliyezungumziwa kuwa ni mpole sana mkinywa na hufanya kazi zake kwa umakini mkubwa,Ni mtu apendaye kufikiri jambo kwa umakini sana kabla ya kulitenda,Pia kazungumziwa sana na idadi kubwa ya walio hojiwa
4.A.Y
AY kati ya mchakalikaji mkubwa na mpenda maendeleo katika kazi zake, ni kijana anaye ibeba nembo ya Tanzania katika ngazi ya kimataifa,Kujiheshimu kwake na kuto kuwa na skendo pamoja na kuchakalika kwake kunamfanya aonekane kuwa mtu wa kuigwa kwa vijana wengine.
5.MWANA FA
Binamu ama waweza sema pacha wa A.Y kutokana na kuwa na urafiki wa karibu sana na wa muda mrefu na A.Y.MWANA FA pia katajwa kwa idadi kubwa ya wadau kama mtu anayeheshimika sana nchini hasahasa katika nyanja hii ya muziki wa kizazi kipya.
 

6. JUMA NATURE
Juma Nature ama kiroboto, ni mtu asiye penda makuu pia kazungumziwa kama mtu anayependa kuona watu wote wakiwa sawa na  hapendi kuona manyanyaso kwa watu wengine sababu ya kuto kuwa na uwezo.
Wamemtaja kama mtu mwenye nyota ya kupendwa sana na watu kwani yaonyesha anaweza akakaa hata miaka kadhaa bila ya kutoa wimbo wowote ila pindi apandapo tu jukwaani watu hufarijika hata aimbapo nyimbo za zamani.

Baada ya kushika sana mitaa na rekodi yake ya Ligi Soo, Msanii Rabbit aka Kaka Sungura ameamua kuugeukia uzalendo zaidi kupitia kazi yake mpya ambayo inakwenda kwa jina 1963 'United Kenya' kwa ajili ya kuonyesha mapenzi na nchi yake.

Nyimbo hii maalum kwa ajili ya kuienzi nchi ya Kenya, pia ni kwa heshima ya siku ya Mashujaa iliyoadhimishwa hivi karibuni nchini Kenya na kuhudhuriwa na Rais Uhuru Kenyatta.

Huu ni muendelezo wa kazi safi kutoka kwa Rabbit ambaye ameonyesha hatua kubwa za mabadiliko na maendeleo katika muziki wake.


source:Sammisago.

Mcheza kikapu ‘Hasheem Thabit’ raia wa Tanzania ambaye anachezea timu ya Oklahoma City Thunder inayoshiriki ligi kuu ya mpira wa kikapu nchini Marekani maarufu kama NBA amejikuta akitumikia adhabu 
aliyopewa na timu yake hiyo ya kutocheza mechi moja na kukatwa mshahara wake baada ya kumpiga kichwa mchezaji mwenzake wa timu  ya New Orleans ‘Greg Stiemsma’ katika  mchezo uliozikutanisha timu hizo mbili mwishoni mwa wiki ambapo New Orleans iliibuka na ushindi wa jumla ya vikapu 105 kwa 102 dhidi ya Thunder.

Kwa mujibu wa taarifa zinasema kwamba ikiwa zimebakia dakika takribani 26 kuweza kumalizika kwa kipindi cha kwanza, Timu anayochezea Thabit ya Thunder ilikuwa inaongoza kwa vikapu 54 kwa 51 dhid ya Orleans, Thabit alijaribu kumkaba ‘Stiemsma’ hali iliyozua ugomvi baina ya wachezaji hao wawili na kuanza kupigana vikumbo hali iliyopelekea Hasheem Thabit kumpiga kichwa mlinzi wa kati wa New Orleans ‘Greg Stiemsma’ na muamuzi wa mchezo huo kupuliza kipenga kuashiria kusimamisha mchezo na kutoa foul kwa timu hizo huku akiwaamuru wachezaji hao kuendelea na mchezo.

Katika mchezo huo Hasheem Thabit aliweza kushinda Point 2 na rebounds 3 ndani ya dakika 14 alizocheza, hii sio mara ya kwanza kwa Hasheem Thabit kugombana na wachezaji wenzake kwani kipindi cha nyuma aliwahi kurushiana maneno na kutaka kupigana na mchezaji wa timu ya Houston Rockets ‘James Harden’.

Kwa wasiomfahamu Hasheem Thabit ndiye mchezaji anayeongoza kwa urefu katika ligi kuu ya mpira wa kikapu Marekani ya NBA, anakadiriwa kuwa na urefu wa Futi 7.3 ambazo ni sawa na mita 2.21 na pia ni raia kutoka Tanzania.

Msafara  wa rais Jakaya  Kikwete ukiwa  umesimama kwa muda eneo la  msitu wa  taifa  wa Sao Hill Mufindi  katika barabara kuu ya Iringa- Mbeya  kufuatia  moto mkubwa kuwaka katika msitu huo mchana wa leo 

Askari polisi akimamisha  msafara  wa rais Kikwete kutokana na moto  mkubwa  kutanda  eneo hilo la Changalawe katika  msitu wa Taifa  wa Sao Hill umbali wa mita  mbili kuelekea  barabara  ya Ikulu ndogo mjini Mafinga 

YAKIWA  ni masaa takribani mawili  kupita  kutoka Rais Jakaya  Kikwete kufanya  kikao chake  cha majumuisho   ya ziara  yake   na  viongozi wa mkoa wa Njombe na  kuwataka  kuchukua hatua  katika kuthibiti moto  ili  kuepusha ukame ,moto  mkubwa umezuka katika msitu wa Taifa  wa Sao Hill Mufindi na kupelekea  msafara  wa  Rais kusimama kwa  muda  kiusalama kutoka na moshi mzito  uliotanda  barabara  kuu ya Iringa Mbeya .

Moto  ulio ulioanza  kuwaka  mida ya saa nane  mchana    ulizuia kwa  muda  kama dakika tatu hivi msafara  wa Rais Kikwete  kufimama katika eneo la Changalawe mjini  Mafinga umbali  wa mita 2  kufika  njiapanda  ya   kuingia ofisi ya mkuu  wa wilaya ya  Mufindi na Ikulu ndogo  ya  wilaya ya Mufindi.

Kutokana na tukio hilo la moto msafara  wa rais  Kikwete  ulisimama na baada ya maofisa  usalama  kushuka na kutazama usalama  zaidi wa msafara  huo ndipo  walioruhusu msafara  huo  kuendelea .

Hata  hivyo  jitihada  kubwa  zilionekana kufanywa na  kikosi  cha askari  wa  JKT Mafinga  pamoja na  wananchi ambao  walikuwa  wakizima  moto  huo .

Huku   vyombo  vya  usafiri  yakiwemo mabasi ya abiri yanayosafiri  kutoka Dar es Salaam kuwenda  mikoa ya  kusini na nchi  za kusini mwa Tanzania yakikwama  kuendelea na  safari  kutoka na moto  huo kushikakasi na  moshi  mzito  kutanda  barabara 

Mkuu  wa  mkoa  wa  Iringa Dr  Christine Ishengoma  alisema kuwa  uongozi  wa  mkoa  tayari  umeagiza  mkuu wa wilaya ya Mufindi kuwasaka   waliohusika na  uchomaji  moto huo ili  kuchukulia  hatua  kali.


Mkuu  huyo  wa  mkoa alisema  kuwa mkoa  wa Iringa umekuwa  ukichukua hatua  kali  kwa wale wote wanaoanzisha  moto  kichaa kama  huo hivyo  kupitia  ofisi ya mkuu wa wilaya ya Mufindi wahusika  watasakwa  popote  walipo .


Mbali na  hilo mkuu  huyo amelipongeza  jeshi la JTK Mafinga kwa  kuchukua hatua  za haraka katika kukabiliana na moto  huo huku akisema madhara  zaidi  yatokanayo na moto  huo yatatolewa baada ya  moto  huo kuthibitiwa .



chanzo Francis Godwin

ILE Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya GPL imeshuhudia mume wa mtu aliyejitambulisha kwa jina la Emmanuel Benedict na mke wa mtu aitwaye Rehema ambao wamenaswa laivu wakifanya ‘mambo’ gesti.


Wawili hao walinaswa hivi karibuni kwenye gesti ambayo pia ina baa iitwayo Blue Roze maeneo ya Buguruni-Sokoni jijini Dar wakijiachia kwa raha zao.

Habari zilizopenyezwa katika timu yetu ni kwamba, baa hiyo hutumia vibaya leseni yake ya biashara kwa kugeuza gesti hiyo danguro ambapo machangu hufanya biashara ya kuuza miili yao katika eneo hilo.


Ilielezwa kuwa baa hiyo huwahifadhi machangudoa ndani yake huku biashara ya ngono ikifanyika mchana kweupe na usiku kucha bila kushtukiwa.


KAZI YAANZA

Ikiwa imebeba kauli ya Kamishina wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP Suleiman Kova kuhusiana na kukomesha biashara ya madanguro jijini, vijana wa OFM walitinga ndani ya baa hiyo kama wateja na kukamilisha uchunguzi wao ambao uliwapa jibu moja tu – biashara ya ngono inafanyika nje nje!

Wakati huohuo, kijana mwingine wa OFM aliingia upande wa gesti iliyopo ndani ya baa hiyo ili kupeleleza bei zake huku mhudumu akiahidi kupunguza bei kwa kuwa alikuwa na changudoa kutoka ndani ya baa hiyo tofauti na wengine waliokuwa wanatoka nje ya eneo hilo.



TAARIFA POLISI

Baada ya kujiridhisha kuwepo kwa hali hiyo, OFM ilitoa taarifa kwa Kamanda wa Polisi wa Wilaya ya Ilala, Lucy Kakulu ambaye haraka alimtaarifu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Marietha Minangi ambaye muda mfupi baadaye aliwasili kituoni hapo na kutoa baraka kwa OFM na kushiriki kuwachagua askari shupavu wa kufanya oparesheni hiyo

Ilipotimia usiku wa manane, ndipo zoezi zima lilianza kwa mmoja wa mapaparazi wetu kuingia ndani ya baa hiyo na kupitiliza moja kwa moja hadi ndani ya gesti.

Akiwa ndani, paparazi huyo alifanikiwa kupatana na mmoja na kuingia naye chumbani huku akitoa ishara kuwa kila kitu kilikuwa wazi ni kiasi cha zoezi kufanyika tu.

KAZI IKAANZA
Kufumba na kufumbua askari shupavu wa Kituo cha Polisi  Buguruni, Dar sambamba na timu ya OFM waliingia mzigoni ambapo waliwanasa machangudoa na meneja wao aliyekuwa akizagaa ndani ya gesti hiyo.

Katika pekuapekua hiyo ndipo mume huyo wa mtu akanaswa laivu chumbani na mke wa mtu huku wote wakiomba msamaha kwa kuwa wana familia zao, hoja ambayo haikuwa na nguvu.

KILA MTU ANA NDOA YAKE
Katika kurusharusha miguu, mwanaume huyo alisema anaomba sana ishu hiyo iishie hapo, isifike polisi wala kwenye vyombo vya habari kwani ana ndoa na familia hivyo itakuwa ni aibu kubwa.
“Chondechonde mimi nina ndoa na familia jamani. Sijui nitaweka wapi sura kwa aibu. Naombeni tuyamalize kiutu uzima,” alisikika mwanaume huyo akijitetea kwa polisi, utetezi ambao haukumsaidia. 

Katika mahojiano huku kondom zilizotumika zikiwa zimezagaa kila kona, kwa upande wa mwanamke alikiri kuwa alifanya tendo hilo bila kinga.


“Hatujazitumia sisi hizi, tumezikuta humuhumu chumbani. Lakini nawaombeni sana, msinipeleke polisi nina ndoa yangu. Naombeni mnisamehe kwa sababu mume wangu atanirarua. Ninyi wenyewe mnajua ndoa ilivyo ngumu, tafadhali naomba mnisitiri,” alisikika mwanamke huyo.
SAFARI YA POLISI

Pamoja na kuomba sana, polisi hao waliokuwa makini na kazi yao wakionekana kumuunga mkono vilivyo Kamanda Kova, waliwatilia ngumu na kuamua kuondoka nao wakiwa na pingu mikononi mwao.

Mbali na hao, oparesheni hiyo pia ilimtia nguvuni meneja wa eneo hilo, Emmanuel Mpinge, ambao wote kwa pamoja walifikishwa kituoni na kufunguliwa kesi yenye namba  BUG/RB/13114/2013 - KUFANYA VITENDO VYA UMALAYA 19/10/2013.




CREADIT: GPL

Anaitwa Witnesz na hichi ndicho alichoandika!!
''jamani humu sisi ni marafiki sawa? ninawapeni tu dondoo kwa wale mliozoea kuniita,bby,mrembo wangu,mpenzi swthrt na kutamani kuniona kwa nia zenu za kimapenzi leo ninawachana live, 
mimi huwa ninatumia akaunti yangu ya facebook na mpenzi wangu na anapassword zote so msijichoreshe kwa kunijaribu,na kwa kuwa tuna aminiana mtu akileta hizo tu tunamblock iwe kwenye akaunti yake ama yangu,so usifanye hivyo ninakusihi ili usipoteze hata chembe ya urafiki uliopo wa fb, much love''

Manny Yarbrough a.k.a Tiny
Akiwa anaelekea kustaafu kucheza mchezo wa 
mieleka aina ya Sumo, Manny Yarbrough anataka
 kufanya maamuzi sahihi ya maisha yake.

Akiwa na umri wa miaka 49 jamaa huyu ambaye 
pia hujulikana kama "Tiny" anataka kupunguza 
uzito kutoka ule aliona sasa wa paundi-719, 
huku muda wake wa kustaafu ukikaribia kufika 
hapo mwakani.

Ameieleza ABC News kwamba lengo lake ni kurudi kwenye hali aliyokuwa nayo katikati ya miaka ya 
1980 kipindi ambacho alikuwa yupo chuo kwenye 
jimbo la Morgan, Fox Sports imetaarifu.
Hii ni shule ya kwanza inayotambulika rasmi 
Duniani kwa kutoa mafunzo ya ngono, ikifunza
 aina za mitindo ya kufanya ngono na namna ya kumuhudumia mwenza kwa mbinu mbalimbali.


Kwenye kila darasa katika kila shule mara 
zote hutokea kuwepo kwa mtoto ambaye huwa 
hafanya homework zake. Ndio maana ake, mpaka ilipokuja kutokea kufunguliwa kwa milango ya chuo
 hicho kilichopo Austria kwenye jiji la Vienna kinachojulikana kwa jina la Austrian 
International Séx School.

Shule hiyo hutoza £1,400 kwa temu moja, huku 
kikitoa mafunzo hayo kwa njia ya nadhalia na 
vitendo.

Wanafunzi wa shule hiyo huchanganywa na
 kuishi kwenye hostel moja ambapo hushauliwa wasaidiane kufanya ‘assignments’ zao.

Mkuu wa shule hiyo - Ylva-Maria Thompson - 
mtu ambaye huwezi mshangaa, ni nyota ya
 filamu za ngono na ni mtangazaji wa vipindi 
vya ngono kwenye TV.

Mwanamke huyo mwenye miaka 51 amesema:
 ‘Nia ni kuwafanya watu wawe wapenzi wazuri, kufahamu aina mbalimbali za mitindo ya kufanya
 ngono, namna ya kumshughulikia mwenza wako, kuzifahamu sehemu nyeti za mwili na kuwafundisha
 watu namna nzuri za ushiriki wa tendo la ngono.

Licha ya hivyo shule hiyo imekuwa ikipata vikwazo kadhaa, ambapo matangazo ya TV yanayoonyesha 
watu wakifanya ngono yamepigwa marufuku,
 huku wengi wakisema shule hiyo ipo kwa ajili ya
 kufanya biashara ya ngono.

Mkali wa crank Tanzania Cpwaa leo amesema kuwa Wimbo wake mpya wa Chereko Chereko umelenga masoko yote, nje na ndani ya Tanzania na video ikitoka shabiki utaelewa hilo zaidi. Fahamu kuwa mara ya mwisho Cp ametoa wimbo ilikuwa mwaka jana alipotoa Double Release yani ngoma mbili kwa wakati moja. Nyimbo Mambo na 12 O'clock .


Cpwaa pia amezungumzia kuteka soko la nje na kusema kuwa kwa sasa msanii wa Africa ilikushine njee lazima ufanye muziki wa nyumbani yani African Music na sio kama Wamarekani sababu tayari muziki wa Africa imeshika soko.

Pia kuhusu video mpya Cpwaa kasema Hata weza kufanya video ya wimbo wake wa Mambo ila video zingine zipo na zinakuja. Pia Cpwaa amesema video bongo zimeboreshwa ila bado ubunifu hakuna ingawa wasanii wanatumia pesa nyingi kufanya video.