advert

http://

Wednesday, 22 May 2013

Upinzani walaani uvamizi Uganda


Upinzani walaani uvamizi Uganda


Ofisi za Gaeti la Daily Monitor zilizovamiwa na polisi wa Uganda
Mkuu wa majeshi wa zamani nchini Uganda ambaye sasa ni kiongozi wa chama cha upinzani cha Forum for democratic Change FDC Meja Generali Mustaafu Mugisha Muntu amelaani hatua ya sasa ya serikali ya amiri jeshi mkuu wake wa zamani ya kuandama na kuzingira ofisi za magazeti ya The Daily Monitor pamoja na Redpepper.
Akiongea na waandishi wa habari nchini Uganda, Bwana Muntu alisema kuwa Rais Museveni anahofia kuwa udhibiti aliokuwa nao kwa vyombo vya usalama na ulinzi umeanza kusambaratika na hivyo kumtia hofu zaidi Museveni.
Polisi nchini Ugandan waJumatatu walivamia ofisi za magazeti kufuatia taarifa kwamba Rais Yeweri Museveni anamuandaa mwanawe wa kiume kumrithi urais.
Vituo viwili vya Redio pia vilivamiwa na kuzimwa , hii ni kwa mujibu wa gazeti la serikali la New Vision.
Wiki iliyopita magazeti ya Uganda yalidai kuwa kuna njama za kuwaua wale watakao pinga mpango wa Rais Museveni kumuandaa mwanawe kuchukua madaraka ya Uganda.
Magazeti hayo yalidai kuwa mipango hiyo ya mauaji yalitolewa na Mkuu fulani wa jeshi la Uganda.
Bwana Museveni, ambaye amekuwa madarakani tangu 1986, anatarajiwa kung'atuka uongozini mwaka 2016.
Kwa muda mrefu kumekuwa na madai kwamba Museveni anamuandaa mwanawe Muhoozi Kainerugaba,ambaye ni brigadier jeshini kushikilia uongozi wa Uganda.
Lakini serikali ya Museveni imekanusha kwamba kuna mipango kama hiyo.

Mwanawe Museveni Brig. Kainerugaba.

Wiki iliyopita gazeti la, the Daily Monitor,na jengine la , Red Pepper, lilichapisha barua ya siri ikidai ilikuwa imeandikwa na Jeneral David Sejusa, ikitaka uchunguzi ufanywe kuthibitisha madai kwamba kuna mipango ya kuwauwa wote watakao piga mipango ya Rais Museveni kumpachika mwanawe uongozini.
Uvamizi huo wa polisi umeidhinishwa na mahakama ya Uganda na ulikuwa unalengo la kutafuta barua hiyo inayodaiwa kuandikwa na mkuu huyo wa Jeshi akifichua njama za mauaji.
Vituo viwili vya Redio vinavyohusiana na Daily Monitor, Dembe FM na KFM, pia vilivamiwa na kuzimwa.

Rais Yoweri Museveni
Mkurugenzi Mkuu wa Daily Monitor Bwana Alex Assimwe aliambia BBC kwamba Chumba chao cha Habari kilivamiwa na polisi wapatao 50 waliojihami kwa silaha.
Lakini wachanganuzi wa maswala ya kisiasa wanadai kuwa ikiwa barua ya Jenerali Sejusa ni ya kweli basi ni dalili kuwa kuna hali mvutano ndani ya jeshi huku ikidhaniwa kuwa wanajeshi wakongwe huenda wanapoteza uwezo kwa wanajeshi chipukizi wanaoongozwa na mwanawe Museveni Brigadia Kainerugaba.
Jenerali Sejusa ni mwanajeshi mkongwe aliyekuwa katika vita vya ukombozi uliyomuweka Rais Museveni madarakani mwaka1986.
Kwa muujibu wa taarifa za AP kamanda mmoja wa jeshi Jenerali Aronda Nyakairima amenukiliwa akisema kuwa Jenerali Sejusa kwa wakati huu anachunguzwa kutokana na barua anayodaiwa kuiandika.

Wengi wafariki kufuatia Kimbunga, Oklahoma


Kimbunga kikubwa kimepiga Jimbo la Oklahoma, nchini Marekani na kuharibu kabisa mitaa.
Maafisa wanasema zaidi ya watu tisini wamefariki, wakiwemo takriban wanafunzi ishirini ambao shule yao ya msingi iliporomoka.
watoto wakipata tabu
ana
Wanafunzi wengine wanahofiwa kufunikwa na vifusi.
Kimbunga hicho kilipiga mji wa Moore kwa takriban dakika arobaine, na kurusha magari katika vifusi vya nyumba na maduka.
Rais Obama ametangaza hali ya mkasa mkubwa na kuahidi usaidizi wa serikali kwa utawala wa jimbo hilo.
Takriban watu 120 wanaendelea kupokea matibabu hospitalini
Masaa kadhaa baada ya Kimbunga hicho kupiga, shughuli za kuwatafuta manusura ingali inaendelea.
Wanatumia mashine kubwa kujaribu kuwatafuta waliokwama chini ya kifusi ili kuwaokoa.
Mji wa Moore ulipigwa na kimbunga kikubwa zaidi kuwahi kushuhudiwa kwa muda wa miaka 14 wakati kimbunga kingine kikubwa kilipopiga eneo hilo.
Watu wengine zaidi wanajulikana kuuawa katika Kimbunga hicho.
Hospitali zimekuwa zikiwapokea majeruhi , wengine wakiwa katika hali mbaya zaidi na maafisa wa utawala wanaonya kuwa idadi ya waliofariki huenda ikaongezeka.
Maafisa wakuu wa serikali ya jimbo walitakiwa kuungana katika juhudi za kuwasaka manusura usiku kucha.
Kwa mujibu wa afisaa mkuu wa afya, angalau watoto 20 walikuwa miongoni mwa wale waliofariki.
Shule ya msingi ya Plaza Towers ndiyo iliyoathirika zaidi kuliko sehemu zingine , kimbunga kiliharibu paa ya shule na kuangusha kuta zake zote.
Shule nyingine moja pia ilipigwa na kimbunga hicho lakini walimu walifanikiwa kuwaokoa wanafunzi.

Drogba atemwa na kocha wa Ivory Coast


Aliyekuwa nahodha wa timu ya taifa ya Ivory Coast na
didier drogba
nyota wa Chelsea, Didier Drogba, ameachwa nje ya kikosi kitakachoakilisha Ivory Coast kwenye mechi ya kufuzu kwa kombe la dunia dhidi ya Gambia na Tanzania.
Hii ni mara ya pili mtawalia kwa kocha wa timu hiyo Sabri Lamouchi kumuacha mchezaji huyo mwenye umri wa miaka Thelathini na Tano.
Mchezaji huyo hakuonyesha mchezo mzuri wakati wa fainali za kombe la mataifa ya Afrika nchini Afrika Kusini hatua iliyomlazimisha kocha huyo kumuacha nje ya kikosi chake kilichocheza na Gambia mwezi Machi mwaka huu.
Mlinda lango wa Manchester City, Kolo Toure, vile vile ameachwa nje ya kikosi hicho cha wachezaji 26.
Lamouchi alisema uamuzi huo ni changamoto kwa Drogba kuimarisha mchezo wake ili aweze kujipa nafasi katika timu hiyo ya taifa.
''Drogba ni mchezaji wa kimataifa na mwenye hadhi kuliko mchezaji yeyote wa timu ya taifa, lakini amekuwa na matatizo katika kipindi cha miezi minane iliyopita'' Alisema Lamouchi.

Dalili za Drogba kustaafu?


Licha ya kocha huyo kusisitiza kuwa Drogba, angali na nafasi ya kucheza mechi za kimataifa, wengi wataanza kujiuliza ikiwa mshambuliaji huyo atapata fursa ya kuongeza idadi ya mechi alizocheza na timu hiyo ya taifa, kutoka tisini na sita hasa kutokana na hali yake kwa sasa baada ya kuisaidia klabu yake ya Galatasaray kunyakua kombe la ligi kuu ya soka nchini Uturuki.
Kocha huyo amewaita Romaric N'Dri Koffi

Madrid yathibitisha kuachana na Mourinho


Klabu ya Real Madrid imethibitisha kuwa kocha wa timu hiyo Jose Mourinho ataondoka kwenye kibarua cha kuifundisha timu hiyo mwishoni mwa msimu.

Rais wa klabu ya Real Madrid,Florentino Perez amewaambia waandishi wa habari jumatatu jioni kuwa Mourinho hatofukuzwa bali wamekubaliana kumaliza mkataba wao na kocha huyo raia wa Ureno.
Aidha Madrid, imeongeza kuwa haijaanza mazungumzo na kocha yeyote kwaajili ya kuchukua nafasi ya Mourinho lakini vyanzo mbalimbali vya habari za michezo zinamtaja kocha wa PSG ya Ufaransa, Carlo Ancelloti kuchukua jukumu la kuifundisha Madrid msimu ujao.
Duru za kimichezo zinasema, Jose Mourinho huenda akarejea nchini Uingereza kuifundisha klabu yake ya zamani ya Chelsea baada ya kuwepo makubaliano baina yake na uongozi wa klabu hiyo.

Saturday, 18 May 2013

Afrocentury limited kwa nyumba bora maishani


Afrocentury limited kwa nyumba bora maishani
We design residential house as per client need
We design economical and modern  design every body can afford
KAMILISHA NDOTO YA KUMILIKI NYUMBA YAKO
Bibi Titi Mohamed Street, Sido Business House
P.O. Box 63265, Room No. 15&16A
DAR ES SALAAM
Tel:(0) 22-2153143, Mobile:(0) 712 029027,(0) 763717667
E-mail: marketing@afrocentury.co.tz
Web :  www.afrocentury.co.tz

David Beckham atarajia kustaafu soka


David Beckham atangaza kustaafu kucheza mpira
Nahodha wazamani wa timu ya Soka ya Uingereza David Beckham ameamua kustaafu mwisho wa msimu huu.

Wakati wa kutia saini kandarasi hiyo mwamba huyo wa Uingereza alitangaza kwamba mshahara wake wote atautoa kwa mashirika ya kutoa msaada.Beckham mwenye umri wa miaka 38 alijiunga na timu ya Paris St-Germain mapema mwezi wa Januari kwa kandarasi ya miezi mitano.
Beckham alijunga na timu ya Manchester United akiwa na umri wa miaka 14 na kufaulu kuichezea klabu hiyo mara 398 huku akishinda makumbe sita ya Ligi kuu na kombe la klabu bingwa bara Ulaya.
"Naishukuru sana timu ya PSG kwa kunipa fursa ya kuendelea kucheza lakini nahisi kuwa huu ni wakati mzuri kwangu kumaliza kazi yangu ya kucheza mpira " amesema.
Pamoja na PSG kubeba kombe la Ligue 1 la Ufaransa , katika uchezaji wake Beckham amezoa jumla makombe 19 - 10 kati yao yakiwa ni makombe ya ligi kuu mbali mbali.
Bechkam ndie mchezaji wa kwanza wa Uingereza kuwahi kubeba makombe ya ubingwa wa Ulaya akichezea timu katika nchi nne tofauti.

AKE: KICKING ON


Sunday's Premier League encounter against Everton at Stamford Bridge brings the curtain down on the 2012/13 season, a campaign which Nathan Ake is unlikely to forget in a hurry.
Having started the season featuring predominantly for Dermot Drummy's Under-21s, the versatile Dutchman, who can operate in either defence or midfield, spent the second half of the campaign heavily involved with the first team
After featuring in both the Premier League and FA Cup, Ake was handed his European debut in the away game against Rubin Kazan in the Europa League, before finishing the season as an unused substitute in the final of the competition against Benfica.
On his return from Amsterdam, he was then presented with the club's Young Player of the Year award, leaving him reflecting on a breakthrough period in his career.
'It feels really nice to have won the award,' he tells the official Chelsea website. 'I didn't expect it at the start of the season but when I was announced as the winner I was really happy.
'It's been a good season for me, especially being involved in the Europa League, and I have to give credit to the other players as well because they've helped me so much.
'I started the season with the Under-21s and I was training a bit with the first team as well. In December I began to get more involved with the first team and I was on the bench a few times, plus there were some games where I was in the initial squad but didn't make the bench for the match.'
Ake's big break came over the festive period, when he was introduced as a late substitute in our 1-0 Boxing Day win at Norwich City.
He recalls the moment fondly, and took great heart from Rafael Benitez's decision to send him on in order to help protect our lead.
'I was pretty nervous to be honest but it showed the manager had confidence in me,' he says.
'It was a tight game and it was only 1-0, so it was nice to know he had belief in me. It also happened against Manchester United, which was an important game, so that was good for my confidence as well.
'I started in the away game against Rubin Kazan and the manager has given me a lot of opportunities.
'It's not only about playing; just training with the first team, being involved and sitting on the bench is good for my development.'
With the 18-year-old still eligible to appear in the FA Youth Cup, Ake has combined his first-team involvement with bolstering Adi Viveash's back four in the latter stages of the competition.
After playing in the first leg of the FA Youth Cup final against Norwich City, and with the second leg coming a night before the first team squad flew out for the Europa League final, the youngster could easily have been back in action with the youngsters, but the management had other ideas.
'It was really nice. I heard after the Aston Villa game that I would be travelling but I didn't know I was going to be on the bench,' he explains. 'I was really happy when the manager told me I would be a sub, and it was an amazing experience for me.
'I was expecting to be involved in the Youth Cup, which has been a great competition for me, so to be involved in the Europa League final was a really big moment.
'For us to actually win the trophy as well made it even more enjoyable.'
Having tasted success, Ake is hungry for more, and he will be confident of taking any further opportunities which come his way.
'If you experience the big occasion it makes you want to get there again,' he says. 'Now I just want to work hard and hopefully get more chances to show what I can do.'


Ufaransa yakubali ndoa ya jinsia moja

Ndoa ya jinsia moja
Rais wa Ufaransa, Francois Hollande, ametia saini sheria yenye utatanishi, inayohalalisha ndoa kati ya watu wa jinsia moja.
Makundi ya watu wanaofanya mapenzi ya jinsia moja nchini Ufaransa yamefurahi kuwa hatimaye sheria hiyo imepitishwa.Ufaransa sasa imekuwa nchi ya 14 duniani kuruhusu ndoa kama hizo.
Wanasema kuna marafiki kadha wanaosubiri kufunga ndoa na maelfu ya watoto wanaolelewa na watu wa jinsia moja ambao sasa watapata hifadhi kisheria.
Wanaopinga sheria hiyo wamehamaki.
Wanaona kuwa Rais Hollande ameshughulika mno na ndoa kati ya jinsia moja kwa sababu ameshindwa katika maswala muhimu zaidi - kama swala la uchumi wa nchi.
Maandamano mengine ya kupinga ndoa kati ya jinsia moja yanapangwa kufanywa tarehe 26 May.
Yanaweza kuwa makubwa na ya fujo kama yaliyopita.
Sababu ni upinzani dhidi ya ndoa za jinsia moja umechanganyika na malalamiko mengine ya mrengo wa kulia dhidi ya serikali.
Na hali nchini sasa ni tete.
Lakini kwa kweli vita vimemalizika.
Watu wa jinsia moja sasa wataanza kufunga ndoa nchini Ufaransa.
Baadhi ya wanasiasa wa mrengo wa kulia wataahidi kuwa watabatilisha sheria hiyo wakipata madaraka, lakini historia inaonesha kuwa kufuta mabadiliko kama haya katika jamii ni shida sana.

BENITEZ: LITTLE BY LITTLE



As he prepares for his final competitive game in charge, Rafael Benitez has been considering the progress of his players over the past seven months.
The Spaniard has secured Champions League football and lifted the Europa League trophy since taking over from Roberto Di Matteo back in November.
'It is a stronger team. The players have been improving and have more experience,' he said. 'With young players we say it is a team in transition with people like Mata, Oscar, Hazard, Marin, Moses. They are new players and they are doing well. They are improving and learning, and have experience of competing for trophies which is important in a top side.
'Azpilicueta is now an international for Spain, Torres is stronger and has more confidence. You can see he is doing well. David Luiz has been very consistent in different positions. The key thing is you can trust him, you can tell him to do this or that and he is always keen to do it. It is a bonus for a manager.
'If you see the squad it's not as big as some people were saying. We had new players, young players who needed experience. If you analyse this I can understand why Roberto was playing sometimes the same team or using less players.
'We tried to manage because we knew we had a lot of games and at the beginning some games were not successful but little by little the team had the same idea and physically were stronger.'
Benitez was then asked whether he feels the team could compete for next season's Barclays Premier League title.
'It always depends on the other teams at the same time,' he responded. 'These players are getting older. Some of them will have more experience. They will be even better next year so if you talk about players like Oscar, Hazard, Mata - the three amigos are getting better every day so that will be good.
'The team will be much better and the new manager will have an easier task because he will have more quality and experience, and he will start pre-season.'

CLECK HERE


Saturday, 11 May 2013

WIGAN YATWAA KOMBE LA FA

Timu ya wigani imechakua kombe la FA baada ya kuichapa man city bao 1-o
bao hiyo limewekwa kinyani na Ben Watson katika dakika ya 90" kabla ya mwamuzi kupuliza kipenga cha mwisho kuashilia mchezo umekwisha.hivyo man city wameachwa mdomo wazi na hawaamini kilichotokea 

kushoto ni kocha wa wigan akishangilia ushindi na katikati ni wachezaji wa man city wakiangalia jinsi goli lilivyokuwa likingiia kinywani na kulia ben waston akichangilia goli alilofunga.

LAMPPARD AIPA CHELSEA TIKETI YA KUCHEZA UEFA!


Mabao mawili ya Frank Lampard yaliifanya Chelsea kuibuka na ushindi wa 2-1 ugenini dhidi ya Aston Villa.

Magoli hayo mawili aliyoyafunga Lampard ambaye ni nahodha msaidizi wa timu hiyo na timu ya taifa ya Uingereza, yamefanya avunje rekodi ya Bobby Tambling mchezaji wa zamani wa Chelsea na kuweka rekodi mpya ya kuwa mfungaji bora wa muda wote wa klabu hiyo ya mashariki mwa London baada ya kufikisha idadi ya kufunga jumla ya mabao 203 tangu aanze kuichezeainazohusiana

Christian Benteke wa Aston Villa na Ramires wa Chelsea walipewa kadi nyekundu kwa nyakati tofauti.Chelsea walikuwa wageni kwenye uwanja wa Villa Park katika mechi ambayo ilikuwa na ushindani huku kadi mbili nyekundu zikitoka.
Kwa matokeo haya Chelsea sasa wanasalia kwenye nafasi ya tatu na pointi 72 huku Aston Villa wakiwa bado kwenye nafasi ya 13 na pointi 40.
Michezo mingine ya ligi kuu ya England inayofikia tamati wiki ijayo itachezwa kwa nyakati tofauti hapo jumapili.
Stoke City watakuwa wakipambana na Tottenham Hotspurs wakati Everton watakuwa nyumbani kuwakaribisha West Ham United.
Kwingineko Fulham watawakaribisha Liverpool kwenye uwanja wa Craven Cottage huku Norwich wakitarajia kupapatauana na West Brom.
Sunderland wao watakuwa wakicheza mchezo ambao kocha wao Paulo Di Canio ameuita mchezo wa fainali kwao dhidi ya Southampton,mchezo ambao utaamua hatima yao ya kushuka ama kusalia kwenye ligi kuu msimu ujao.
Mabingwa Manchester United wao watacheza mchezo wao wa mwisho kwenye uwanja wa Old Trafford dhidi ya Swansea, mchezo ambao United watautumia kumuaga kocha wao Sir Alex Ferguson aliyetangaza kustaafu msimu ujao na pia watakuwa wakikabidhiwa rasmi kombe la ubingwa wa ligi kuu msimuu huu.
Na mchezo wa mwisho QPR watakuwa wakipambana na Newcastle, mchezo ambao BBC Ulimwengu wa soka itakuwa ikutangazia moja kwa moja kuanzia majira ya saa kumi na moja na nusu jioni kwa saa za Afrika mashariki sawa na saa kumi na nusu Afrika ya kati.
CHANZO BBC SWAHILI.CO.UK

Tutu aacha kuunga mkono ANC


Askofu mstaafu wa Cape Town, Afrika Kuisni, Desmond Tutu, amesema hatapigia kura tena ANC, chama tawala cha nchi hiyo.
Katika makala aliyoandika kwenye magazeti ya Mail na Guardian, Desmond Tutu, aliyepewa tuzo ya Nobel ya amani, alisema ANC iliongoza vema vita vya ukombozi lakini haikufanikiwa kuwa chama cha kisiasa.
Alitoa mfano wa tofauti baina ya maskini na matajiri, fujo na rushwa kuwa sababu zinazomfanya kuacha kuunga mkono chama hicho.
Desmond TutuZamani Desmond Tutu alikuwa mfuasi mkubwa wa chama hicho lakini katika miaka ya karibuni amekilaumu kwamba hakikushughulikia watu wa kawaida.chanzo,www.bbcswahili.co.uk

Moyes:Sikupanga kuondoka Everton


Kocha wa Everton David Moyes ambaye msimu ujao atakuwa kocha mkuu wa Manchester United, amesema hakupanga kuondoka Goodison Park ila ilikuwa vigumu kukataa ofa ya kuifundisha United.

Moyes mwenye umri wa miaka 50 ameyasema hayo wakati akizungumzia mchezo wa siku ya jumapili wa ligi kuu soka nchini England.

Kocha huyo raia wa Scotland amesema kuwa alipanga kuongeza muda wa kuifundisha Everton baada ya kukaa kwa miaka 11, lakini alipopewa mkataba wa miaka sita wa kuifundisha Manchester United alishindwa kukataa.Kauli hiyo ameitoa siku moja baada ya kutangaza rasmi ataicha Everton mwishoni mwa msimu huu na kujiunga Manchester United kama mrithi wa Sir Alex Ferguson ambaye alitangaza kustaafu kufundisha soka baada ya msimu huu kumalizika.
"Sikupanga kuondoka Everton, ila kiukweli ilipokuja ofa ya United, sikuweza kusema hapana" Alisema Moyes ambaye alianza kucheza soka kwenye klabu ya Celtic.
Aidha Moyes ambaye aligoma kujibu chochote kuhusu United, alisema anatambua changamoto atakazokutana nazo hapo jumapili wakati atakapokuwa akiongoza timu yake ya Everton katika mchezo wa ligi kuu England dhidi ya West Ham
Kocha wa Celti, Neil Lennon amepinga uvumi wa kuwa huenda akamrithi Moyes kwenye viunga vya Everton huku Michael Laudrup yeye akisema anataka kuendelea kuifundisha Swansea
CHANZO CHA HABARI.www.bbcswahili.co.uk

RADIO SAUT FM MWANZA YATIMIZA MIAKA 15 TOKEA KUANZISHWA KWAKE




Watangazaji na wafanyakazi wa radio SAUT FM iliopo Mwanza wanayofuraha ya kuwakaribisha wadau na wapenzi wao katika maadhimisho ya kuzaliwa kwa radio hiyo inayotimiza miaka 15
tokea kuanzishwa kwake  itakayo fanyika kesho Juma mosi kuanzia saa 1 usiku hadi majogoo katika viwanja vya Raila Odinga viliopo katika chuo kikukuu cha Mt. Augustino  jijini Mwanza.


Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa maandalizi na Mkurugenzi  wa idara ya Burudani radioni hapo Bw. Lucas Maziku kuwa kutakuwa na mambo mengi ikiwemo maonesho ya Mavazi, Dansi, Muziki kutoka kwa waimbaji mbalimbali wa muziki wa kizazi kipya wa jijini Mwanza.

Ameongeza kuwa watu watapata pia kuwajua watangazaji na historia ya radio hiyo tokea ilipoanza mpaka hapa ilipo, vile vile amesema kuwa kiingilio ni bure kwa watu wote na ulinzi utakuwepo wa kutosha kwa yeyote atakaefika hapo kesho katika viwanja hivyo.

Thursday, 9 May 2013

David Moyes Kocha Mpya wa Man United.

Uongozi wa Old Trafford umetangaza rasmi na kuthibitisha kuwa David Moyes atakuwa meneja mpya wa timu hiyo kuchukua nafasi ya Sir Alex Ferguson atakayestaafu mwishoni mwa msimu huu.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka Old Trafford mchana wa leo, David Moyes amepewa mkataba wa miaka sita wa kuifundisha Manchester United kuanzia msimu ujao.
Taarifa zaidi zinafuata.
CHANZO CHA HABARI BBC SWAHILI.

Saturday, 4 May 2013

TUME YA UCHAGUZI YA SSPRA{SAUT) YATANGAZA MATOKEO YA UONGOZI MPYA KATIKA NYANJA MBALIMBALI LEO.

Kamati ya uchaguzi ya sspra imetangaza matokeo ya viongozi wapya watakao endeleza chama 2013/2014.katika uchaguzi huo kulikuwa na nafasi nane kama vile,mwenyekiti,makamu mwenyekiti,katibu,makamu katibu,mwekahazina,mweka hazina msaidizi, Afisa habari na mahusiano, na makamu afisa habari na mahusiano.
            Akitangaza matokeo ya uchaguzi mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi mh. john odhilo amemtangaza Athanas sing'ambi kuwa mwenyekiti mpy wa sspra 2013/2014 kufuatia ushindi wa kula alizopata kufikia 76 na kumpita mpinzani wake Andrew geofrey aliyepata kura 14 na idadi ya wapiga kura walikuwa 90.
Aidha mwenyekiti aliongezea kwa kutaja nafasi zingine ambazo wagombea walikuwa wanagombea nazo ni kama zifuatazoaaa;
       KATIKA NGAZI YA MAKAMU MWENYEKITI
  Makura ndege alishinda nafasi hiyo kwa kura 59 na kumpita mgombea mwenza chenga alyepata kura 25 kati ya 84
KATIKA NGAZI YA KATIBU
   Mbwaga imani ameshinda nafasi iyo kwa kupata kura 66 na kumpita mgombea mwenza haule adam alyepata kura 22 kati ya 88.
KATIKA NGAZI YA MAKAMU KATIBU
Fura ephraim  ameshinda nafasi iyo kwa kupata kura 44 na kumpita mgombea mwenza joseph ichel alyepata kura 41 kati ya 85
KATIKA NGAZI MWEKAHAZINA
kyando ameshinda nafasi iyo kwa kupata kura 48 na kumpita mgombea mwenza munuo hosiana alyepata kura 36 kati ya 84
KATIKA NGAZI YA MWEKA HAZINA MSAIDIZI
wilson bahati ambaye ailikuwa mgombea peke yake katka nafasi hiyo ameweza kupata jura za ndiyo 82 kati ya wapiga kura 88.
KATIKA NGAZI YA AFISA MAHUSIANO
Athanas msota amameshinda nafasi iyo kwa kupata kura 75 na kumpita mgombea mwenza munuoemil alex aliyepata kura 14 kati ya 85
KATIKA NGAZI YA MAKAMU AFISA MAHUSIANO
Jesse edwin amameshinda nafasi iyo kwa kupata kura 69 na kumpita mgombea mwenza kalumbilo john aliyepata kura 39 kati ya 88

Tuesday, 30 April 2013

Mwanajeshi wa Ufaransa auawa Mali


Mwanajeshi mmoja wa Ufaransa nchini Mali ameuawa na wengine wawili kujeruhiwa vibaya.
Kwa mujibu wa maafisa wa Ufaransa, mwanajeshi huyo kutoka kikosi maalum cha Ufaransa aliuawa Magharibi mwa nchi baada ya gari lake kulipukiwa na bomu lililokuwa limetegwa kando ya barabara.
Hadi kufikia sasa wanajeshi sita wa Ufaransa wameuawa tangu Ufaransa kuanza operesheni yake dhidi ya wapiganaji wa kiisilamu waliokuwa wanadhibiti Kaskazini mwa nchi
Ufaransa ilitangaza kuanza kuondoa baadhi ya wanajeshi wake 4,000 walioko Mali.
Lakini wengine 1,000 watasalia nchini humo hadi mwakani kuweza kukabiliana na wapiganaji wa kiisilamu walio na uhusiano na kundi la Al-Qaeda
Baadhi ya miji, imeweza kudhibitiwa na wanajeshi hao, lakini wapiganaji hao wangali kwenye maficho yao ya mwisho Kaskazini mwa Mali ambako wanafanya mashambulizi ya kuvizia dhidi ya wanajeshi wa Mali na Ufaransa.
Hivi maajuzi Umoja wa Mataifa uliafikia kunda kikosi cha wanajeshi 12,000 kushika doria nchini Mali.
Watashirikiana na kikosi cha wanajeshi 6000 ambao tayari wako nchini humo.
Rais Francois Hollande ametoa rambi rambi zake kwa familia za waliouawa huku akiwasifu kwa ujasiri wao nchini Mali.

**03.04.2013. PEC report for the first 3 months of 2013: 28 journalists killed in 15 countries // rapport de la PEC pour les trois premiers mois de 2013: 28 journalistes tués dans 15 pays // desde el primero de enero, 28 periodistas fueron asesinados en 15 países (English, French, Spanish, Arabic)

Number of journalists killed down by near 10 percent in 3 months

Geneva, April 3 (PEC) – According to the Press Emblem Campaign (PEC) quarterly report for 2013 published Wednesday the number of journalists killed in the first three months of the year, 28 in 15 countries, has gone down to near 10 percent as compared with the same period last year.

Pakistan leads the tally with 7 journalists killed in three months, followed by Syria 4 killed, Somalia 3 killed and three in Brazil.

One journalist was killed in the following countries: Guatemala, India, Haiti, Kenya, Mexico, Nigeria, Paraguay, Peru, Central African Republic, Tanzania and Yemen.

The difference between 2012 and 2013 is that in Syria 5 journalists less were killed in 2013.

PEC Secretary-General Blaise Lempen noted that unfortunately this improved statistics does not reflect a better security situation in the field for the media, but could be traced to less journalists taking the risk to go to Syria to witness the ongoing violence. Lempen adds that Syria is in agony in a massive indifference.

The latest from Syria is that Jörg Armbruster, a correspondent for the German public broadcaster ARD, was seriously injured by gunfire during a military clash in Aleppo on March 29, 2013. After emergency surgery inside Syria on the same day, Armbruster was transferred by ambulance to Turkey, where he was treated by an emergency medical team, he was evacuated to Stuttgart on Monday April 1.

The situation in Pakistan has deteriorated from one year to the other. Three of the killed journalists lost their lives in a bomb attack in Baluchistan and the others were targeted in the tribal zones where they are particularly threatened by secessionist groups and extreme militants.

The situation remained dangerous in Somalia and Brazil. They still are in the group of the four most dangerous countries for media work as they were last year.

PEC President Hedayat Abdelnabi, said that though this decrease is welcome yet a lot has to be done. The PEC reiterates its call to UN member states to start the process of negotiations on new binding guidelines to protect journalists in conflict zones and dangerous situations. Last year, journalists were killed in a record number, 141 for the whole year.

*26.04.2013. PARAGUAY. The Press Emblem Campaign (PEC) is worried by the second murder of a journalist in the north-east of Paraguay this year - an alarming trend


The PEC joins the Journalists' Union of Paraguay (Sindicato de Periodistas del Paraguay, SPP) who condemns the murder of journalist Carlos Artaza (photo), in Pedro Juan Caballero. Artaza worked for the press department in the Amambay governor's office and was targeted in a premeditated attack during which he was shot six times. On the morning of 25 April 2013 he was taken to hospital, where he was pronounced dead.

26 April is the national Day of the Journalist, commemorating the 1991 murder of journalist Santiago Leguizamón. SPP is saddened that on the eve of this day another journalist has been killed. The organisation offers its condolences to Artaza's family and calls for a rigorous investigation and exemplary punishment for those responsible for this terrible killing.

Artaza participated in a political event on the night of 24 April and when he returned home, was attacked by people driving a motorcycle.

This incident is the latest in a line of incidents, most recently the repeated death threats against journalist Aníbal Gómez Caballero. Cándido Figueredo, an ABC Color correspondent in Pedro Juan Caballero, has also received threats recently.

SPP calls on the local authorities to put more emphasis on the safety of journalists, with the aim of protecting them, especially in regions where there is unrest such as in towns near the border.

The organisation pledges that, for the sake of Artaza's wife and children, they will not let his murder go unpunished. To do this, SPP will take the necessary steps to punish those who are spreading this message of violence against journalists and the general population. SPP calls for an end to impunity and for justice for Carlos Artaza.

Carlos Artaza is the second journalist to be killed this year in Pedro Juan Caballero, a city on the Brazilian border that is the capital of Amambay department, following radio station owner and manager Marcelino Vazquez February 6.
Threats marked the campaign for the 21 April general election.

According to the PEC Ticking clock, 12 journalists were killed in Latin America since January this year, 5 only in April, an alarming trend.
***17.04.2013. PAKISTAN. THE PRESS EMBLEM CAMPAIGN (PEC) CONDEMNED THE SUICIDE BOMB ATTACK IN PESHAWAR WHICH KILLED A PAKISTANI JOURNALIST AND INJURED TWO OTHERS
PAKISTAN: The Press Emblem Campaign (PEC), which is fighting for the protection of journalists has strongly condemned the suicide bomb attack on a political party rally in Pakistan’s Northwestern city of Peshawar in which among others, a Pakistani print journalist was killed and two other media persons sustained injuries.

The incident took place on April 16 late evening in Yakatoot, a crowded neighbor of Peshawar city soon after the party senior leader Ghulam Ahmed Bilour came to the gathering, however he escaped. In this happening, two children, and six police officials among 16 people killed and dozen more including women and children were injured.      

Mr. Tariq Aslam Durrani (photo), 46 a sub-editor with Urdu language ‘the Daily Pakistan’ was killed while covering the rally of the Awami National Party (ANP) along with other media persons. Besides, a news editor of the same newspaper Mr. Azhar Ali Shah and Mr. Ehtisham Khan a reporter with the Express television sustained injuries who were shifted to hospital, however they are out of danger now, doctors said. 

The deceased has left four kids, a widow and was living in rented house, his close relatives told the PEC.

Amid the country is preparing to hold general polls on May 11, this is the fourth deadly attack on politicians or political parties in last three days which is much alarming.

In such a situation, doing journalism is becoming much difficult not only in terrorists hit tribal areas of Pakistan, but even in major urban centers.

Latter, the spokesman of the outlawed Tehrik-i-Taliban Pakistan (TTP) Ehsanullah Ehsan while talking to a private television channel on phone claimed the responsibility of the blast.

It is worth mentioning that according to the PEC record, during Jan-March 2013, Pakistan remained the most ‘dangerous country’ for journalists to do journalism. During this period seven journalists were been killed with impunity followed by Syria with four journalists’ casualties and Somalia and Brazil with three each.

This quarterly report for 2013, number of journalists killed in the first three months of the year clocked at 28 in 15 countries, has gone down to near 10 percent as compared with the same period last year, however the situation still grim in most parts of the world.

During April 2012, so far three journalists have been killed including Mr. Durrani of Pakistan. This has led the total number on the PEC ticking clock to 31